real G
JF-Expert Member
- Feb 7, 2013
- 5,227
- 5,287
Habari hapa JF ,
Kutokana na ufisadi mkubwa na rushwa unaogunduliwa sasa hivi, na wanaogundua huu uozo ni Waziri mkuu na Rais, je hii taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (takukuru) ilikua inafanya nini, maana Rais na waziri mkuu ndio anafanya kazi zao.
Mimi naona ingefumuliwa na kuundwa nyingine mpya ambayo itakua huru na wachukue hii momentum ambayo rais na waziri mkuu ameileta,Mnasemaje?
Kutokana na ufisadi mkubwa na rushwa unaogunduliwa sasa hivi, na wanaogundua huu uozo ni Waziri mkuu na Rais, je hii taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (takukuru) ilikua inafanya nini, maana Rais na waziri mkuu ndio anafanya kazi zao.
Mimi naona ingefumuliwa na kuundwa nyingine mpya ambayo itakua huru na wachukue hii momentum ambayo rais na waziri mkuu ameileta,Mnasemaje?