Takukuru fanyeni na hili kurudisha heshima ya nchi na viongozi

mgeni wenu

JF-Expert Member
Jan 2, 2012
3,664
1,730
Sina shaka kwa sasa na utendaji wa Takukuru,kasi waliyonayo inaanza kutia moyo...ili msionekane double standard kwa kuwa mna watumishi kila wilaya wapimeni kwa kuangalia utendaji wao katika hili,waoneshe wabunge wote waliongia bungeni kwa Rushwa au kukiuka maadili na mchukuwe hatua,hii kuwakamata tuu sioni kama mna kipimo cha haraka cha watendaji wenu wilayani na mikoani...anzeni leo na msimuonee mtu haya huruma wala aibu na msimuonee gere,...hapo mtaukosha moyo wangu na watanzania wengi
 
Sina shaka kwa sasa na utendaji wa Takukuru,kasi waliyonayo inaanza kutia moyo...ili msionekane double standard kwa kuwa mna watumishi kila wilaya wapimeni kwa kuangalia utendaji wao katika hili,waoneshe wabunge wote waliongia bungeni kwa Rushwa au kukiuka maadili na mchukuwe hatua,hii kuwakamata tuu sioni kama mna kipimo cha haraka cha watendaji wenu wilayani na mikoani...anzeni leo na msimuonee mtu haya huruma wala aibu na msimuonee gere,...hapo mtaukosha moyo wangu na watanzania wengi

Kama walikusanya ushahidi itakuwa rahisi na wana ushahidi....otherwise ndo imetoka
 
Huko Manispaa ya Musoma naona imepigiwa sana kelele,nadhani tuspuuze huko mabench ya kisutu yapo wazi wikii hayagusa matako ya vigogo,mkuu Musoma yetu tupe dondoo
 
Huku ni noma zaidi mkuu. Ndo maana hata viongozi wa kitaifa, nadhani wanapanga jinsi ya kuja ku visit huku. Hatujamuona hata naibu waziri wa tamisemi..!!! Huku yameiva ni kushika tu majipu yanatoa usaha yenyewe.
 
Duh,mkuu labda watu wanavuta ushahidi maana kukimbilia mahakamani kunaweza kuleta serikali kupigwa chini,ngoja tuone mwisho wa sinema maana umelia sana na hapo kwenu
 
Nchi imeoza,sio majipu haya ni kansaTE="Musoma Yetu, post: 15793952, member: 357121"]Waende musoma manispaa, majipu yako mengi..!! Madudu kila kona.[/QUOTE]
Nchi
 
Back
Top Bottom