Takukuru fanyeni haraka hapo jua kali sa ivi ccm wanagawa hela kwa viongozi wa vikundi nkoaranga 35

THEO LYIMO

Member
Mar 11, 2012
46
17
Jamani wana jf naomba mtusaidie hawa takukuru wapo wapi kwani hapo jua kali sa ivi viongozi wa vikundi vya kina mama nkoaranga ambapo kila kikundi kina viongozi watatu na vipo vikundi 35 wanagawiwa pesa kwa ajili ya kuaandaa mkutano na kuhimiza watu waje pale nkoamansa ambapo wananchi waligoma kuja kuja jana sasa sijui wana jf msaidia aje john mrema nimemweleza lakini ufuatiliaji kwani hapa nkoaranga hawaitaki ccm kabisa paka viongozi hizi habari ni za kweli
 
Jamani wana jf naomba mtusaidie hawa takukuru wapo wapi
kwani hapo jua kali sa ivi viongozi wa vikundi vya kina mama nkoaranga
ambapo kila kikundi kina viongozi watatu na vipo vikundi 35 wanagawiwa
pesa kwa ajili ya kuaandaa mkutano na kuhimiza watu waje pale nkoamansa
ambapo wananchi waligoma kuja kuja jana sasa sijui wana jf msaidia aje
john mrema nimemweleza lakini ufuatiliaji kwani hapa nkoaranga
hawaitaki ccm kabisa paka viongozi hizi habari ni za kweli

Takukuru wana simu namba 113 kwa dharura kama hii.
 
Back
Top Bottom