THEO LYIMO
Member
- Mar 11, 2012
- 46
- 17
Jamani wana jf naomba mtusaidie hawa takukuru wapo wapi kwani hapo jua kali sa ivi viongozi wa vikundi vya kina mama nkoaranga ambapo kila kikundi kina viongozi watatu na vipo vikundi 35 wanagawiwa pesa kwa ajili ya kuaandaa mkutano na kuhimiza watu waje pale nkoamansa ambapo wananchi waligoma kuja kuja jana sasa sijui wana jf msaidia aje john mrema nimemweleza lakini ufuatiliaji kwani hapa nkoaranga hawaitaki ccm kabisa paka viongozi hizi habari ni za kweli