TAKUKURU anzeni na Tulia Ackson

TAKUKURU anzeni na Tulia Ackson

Lengo kuu la Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Namba 11 ya 2007 limeainishwa katika kifungu cha 4 cha Sheria hii ikiwa ni kuhakikisha ustawi wa utawala bora na kuondoa rushwa nchini. Ili kuhakikisha lengo hili linatimia, sheria hii inaweka mazingira bora kisheria, kiutawala, na kiutekelezaji yenye mwelekeo wa Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini.

Kama kweli mnafanya kazi kwa mujibu wa Sheria yenu ina maana jukumu lenu mojawapo ni kuzuia rushwa.

Mumetupa namba za kuwapigia lakini mimi nawaonyesha Mtanzania mmoja kwa jina la Tulia Ackson amekuwa anafanya vitendo vinavyoashiria uwapo wa rushwa katika Jiji la Mbeya.

Mshahara wa Naibu Spika unafahamika sidhani kama unazidi Tsh 15 Milioni. Lakini huyu Tulia Ackson amekuwa akigagawa fedha taslimu kwa vikundi vya akina mama na vijana.

Nawaita TAKUKURU muende mumhoji yafuatayo,
1. Je anapata wapi hizo fedha anazogawa kwa hivyo vikundi kama fedha takwimu au bidhaa?

2. Chunguzeni akaunti yake iliyoko kwa jina la Tulia Trust, ni nani wanaingiza fedha humo?

3. Je hiyo Tulia Trust inawezekana ikawa inatakatisha fedha (money loundering) kwa kisingizo cha kutoa msaada?

4. Je hao wafadhili wa hizo fedha wanategemea kulipwa nini na Tulia Ackson?

Nimeleta hapa kwa kuwa Tulia Ackson mwenyewe anajitapa kwa kudanganya wazee wa Jiji na viongozi wa CCM Mkoa kuwa ametumwa na Magufuli kuchukua Jimbo la Mbeya ili awe SPIKA wa Bunge baada ya uchaguzi wa 2020.
Mkuu upo ulaya au hapahapa TZ. huku hakuna haki
 
Nimeleta hapa kwa kuwa Tulia Ackson mwenyewe anajitapa kwa kudanganya wazee wa Jiji na viongozi wa CCM Mkoa kuwa ametumwa na Magufuli kuchukua Jimbo la Mbeya ili awe SPIKA wa Bunge baada ya uchaguzi wa 2020.
Unajuaje kuwa anawadanganya Wazee wa Mbeya ..... labda ni kweli katumwa!!

cc. Job Ndugai .....!!
 
Lengo kuu la Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Namba 11 ya 2007 limeainishwa katika kifungu cha 4 cha Sheria hii ikiwa ni kuhakikisha ustawi wa utawala bora na kuondoa rushwa nchini. Ili kuhakikisha lengo hili linatimia, sheria hii inaweka mazingira bora kisheria, kiutawala, na kiutekelezaji yenye mwelekeo wa Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini.

Kama kweli mnafanya kazi kwa mujibu wa Sheria yenu ina maana jukumu lenu mojawapo ni kuzuia rushwa.

Mumetupa namba za kuwapigia lakini mimi nawaonyesha Mtanzania mmoja kwa jina la Tulia Ackson amekuwa anafanya vitendo vinavyoashiria uwapo wa rushwa katika Jiji la Mbeya.

Mshahara wa Naibu Spika unafahamika sidhani kama unazidi Tsh 15 Milioni. Lakini huyu Tulia Ackson amekuwa akigagawa fedha taslimu kwa vikundi vya akina mama na vijana.

Nawaita TAKUKURU muende mumhoji yafuatayo,
1. Je anapata wapi hizo fedha anazogawa kwa hivyo vikundi kama fedha takwimu au bidhaa?

2. Chunguzeni akaunti yake iliyoko kwa jina la Tulia Trust, ni nani wanaingiza fedha humo?

3. Je hiyo Tulia Trust inawezekana ikawa inatakatisha fedha (money loundering) kwa kisingizo cha kutoa msaada?

4. Je hao wafadhili wa hizo fedha wanategemea kulipwa nini na Tulia Ackson?

Nimeleta hapa kwa kuwa Tulia Ackson mwenyewe anajitapa kwa kudanganya wazee wa Jiji na viongozi wa CCM Mkoa kuwa ametumwa na Magufuli kuchukua Jimbo la Mbeya ili awe SPIKA wa Bunge baada ya uchaguzi wa 2020.
PCCB kwisha manenol unatarajia taasisi ya Rushwa inayo ongozwa na Polisi ipate ufanisi gani? Huko wamebakia kusikiliza amri za wanasiasa!
 
PCCB kwisha manenol unatarajia taasisi ya Rushwa inayo ongozwa na Polisi ipate ufanisi gani? Huko wamebakia kusikiliza amri za wanasiasa!
Polisi wametoka baada ya Valentino Mlowola kuwa Balozi na Diwani Athman kuwa DG-IS. Sasa kuna Brigadier General wa TPDF
 
Lengo kuu la Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Namba 11 ya 2007 limeainishwa katika kifungu cha 4 cha Sheria hii ikiwa ni kuhakikisha ustawi wa utawala bora na kuondoa rushwa nchini. Ili kuhakikisha lengo hili linatimia, sheria hii inaweka mazingira bora kisheria, kiutawala, na kiutekelezaji yenye mwelekeo wa Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini.

Kama kweli mnafanya kazi kwa mujibu wa Sheria yenu ina maana jukumu lenu mojawapo ni kuzuia rushwa.

Mumetupa namba za kuwapigia lakini mimi nawaonyesha Mtanzania mmoja kwa jina la Tulia Ackson amekuwa anafanya vitendo vinavyoashiria uwapo wa rushwa katika Jiji la Mbeya.

Mshahara wa Naibu Spika unafahamika sidhani kama unazidi Tsh 15 Milioni. Lakini huyu Tulia Ackson amekuwa akigagawa fedha taslimu kwa vikundi vya akina mama na vijana.

Nawaita TAKUKURU muende mumhoji yafuatayo,
1. Je anapata wapi hizo fedha anazogawa kwa hivyo vikundi kama fedha takwimu au bidhaa?

2. Chunguzeni akaunti yake iliyoko kwa jina la Tulia Trust, ni nani wanaingiza fedha humo?

3. Je hiyo Tulia Trust inawezekana ikawa inatakatisha fedha (money loundering) kwa kisingizo cha kutoa msaada?

4. Je hao wafadhili wa hizo fedha wanategemea kulipwa nini na Tulia Ackson?

Nimeleta hapa kwa kuwa Tulia Ackson mwenyewe anajitapa kwa kudanganya wazee wa Jiji na viongozi wa CCM Mkoa kuwa ametumwa na Magufuli kuchukua Jimbo la Mbeya ili awe SPIKA wa Bunge baada ya uchaguzi wa 2020.
Katika taasisi nisiyoiamini ni takukuru, wao ndo wanaongoza kwa rushwa halafu wachunguze kitu gani?
 
Unajuaje kuwa anawadanganya Wazee wa Mbeya ..... labda ni kweli katumwa!!

cc. Job Ndugai .....!!
Tulia Ackson hatoshi na hajiamini. Angekuwa anajiamini asingehangaika kufanya hizo kampeni mbuzi kabla ya wakati.
 
Nasikia Tulia anagawa mpaka hela kwenye misiba kwa waliohudhuria. TAKUKURU mnayajuwa haya?
 
Nawashauri watu Wa Mbeya wawe kama Wachagga, hawajui kukataa pesa au chochote...
Wapelekee chochote watapokea, ila matokeo yakitoka ndio utajua hawa watu wana akili au lah
Hapa tena TAKUKURU wametoa tamko;
Screenshot_20200409-173537_Instagram.jpg
 
Lengo kuu la Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Namba 11 ya 2007 limeainishwa katika kifungu cha 4 cha Sheria hii ikiwa ni kuhakikisha ustawi wa utawala bora na kuondoa rushwa nchini. Ili kuhakikisha lengo hili linatimia, sheria hii inaweka mazingira bora kisheria, kiutawala, na kiutekelezaji yenye mwelekeo wa Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini.

Kama kweli mnafanya kazi kwa mujibu wa Sheria yenu ina maana jukumu lenu mojawapo ni kuzuia rushwa.

Mumetupa namba za kuwapigia lakini mimi nawaonyesha Mtanzania mmoja kwa jina la Tulia Ackson amekuwa anafanya vitendo vinavyoashiria uwapo wa rushwa katika Jiji la Mbeya.

Mshahara wa Naibu Spika unafahamika sidhani kama unazidi Tsh 15 Milioni. Lakini huyu Tulia Ackson amekuwa akigagawa fedha taslimu kwa vikundi vya akina mama na vijana.

Nawaita TAKUKURU muende mumhoji yafuatayo,
1. Je anapata wapi hizo fedha anazogawa kwa hivyo vikundi kama fedha takwimu au bidhaa?

2. Chunguzeni akaunti yake iliyoko kwa jina la Tulia Trust, ni nani wanaingiza fedha humo?

3. Je hiyo Tulia Trust inawezekana ikawa inatakatisha fedha (money loundering) kwa kisingizo cha kutoa msaada?

4. Je hao wafadhili wa hizo fedha wanategemea kulipwa nini na Tulia Ackson?

Nimeleta hapa kwa kuwa Tulia Ackson mwenyewe anajitapa kwa kudanganya wazee wa Jiji na viongozi wa CCM Mkoa kuwa ametumwa na Magufuli kuchukua Jimbo la Mbeya ili awe SPIKA wa Bunge baada ya uchaguzi wa 2020.
Kilimo cha Samaki majini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siyo kila mwenye mawazo tofauti na wewe unayelamba (bootlicker) viatu vya Tulia Ackson ni Sugu au mpambe wa Sugu. Mimi ni Mwana Mbeya huru ninayeona ujinga anaofanya Tulia. Njoo na majibu kwenye zile hoja zangu pale juu kwenye bandiko.
Huna uhakika mshahara wake ni kiasi gani? Huna hakika Tulia trust ina wadhamini gani? Hofu yako ni Sugu kunyag'anywa Jimbo. Maana kama ana foundation yake alafu anatoa misaada hapo kuna kosa? Kuhusu kusema kama ametumwa na JPM kuchukua jimbo ili awe spika. Naomba utupie video yenye sauti hapa.
 
Inasemekana Lowassa alienguliwa kwenye kinyang'aro cha urais CCM kwasababu alitumia pesa nyingi kuusaka urais,CCM Mbeya wakimpitisha huyo mtu watakuwa wamenunuliwa ,na ikitokea akapita miaka yote mitano atakuwa anarejesha mtaji wake aliotumia kuwanunua pamoja na faida.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lengo kuu la Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Namba 11 ya 2007 limeainishwa katika kifungu cha 4 cha Sheria hii ikiwa ni kuhakikisha ustawi wa utawala bora na kuondoa rushwa nchini. Ili kuhakikisha lengo hili linatimia, sheria hii inaweka mazingira bora kisheria, kiutawala, na kiutekelezaji yenye mwelekeo wa Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini.

Kama kweli mnafanya kazi kwa mujibu wa Sheria yenu ina maana jukumu lenu mojawapo ni kuzuia rushwa.

Mumetupa namba za kuwapigia lakini mimi nawaonyesha Mtanzania mmoja kwa jina la Tulia Ackson amekuwa anafanya vitendo vinavyoashiria uwapo wa rushwa katika Jiji la Mbeya.

Mshahara wa Naibu Spika unafahamika sidhani kama unazidi Tsh 15 Milioni. Lakini huyu Tulia Ackson amekuwa akigagawa fedha taslimu kwa vikundi vya akina mama na vijana.

Nawaita TAKUKURU muende mumhoji yafuatayo,
1. Je anapata wapi hizo fedha anazogawa kwa hivyo vikundi kama fedha takwimu au bidhaa?

2. Chunguzeni akaunti yake iliyoko kwa jina la Tulia Trust, ni nani wanaingiza fedha humo?

3. Je hiyo Tulia Trust inawezekana ikawa inatakatisha fedha (money loundering) kwa kisingizo cha kutoa msaada?

4. Je hao wafadhili wa hizo fedha wanategemea kulipwa nini na Tulia Ackson?

Nimeleta hapa kwa kuwa Tulia Ackson mwenyewe anajitapa kwa kudanganya wazee wa Jiji na viongozi wa CCM Mkoa kuwa ametumwa na Magufuli kuchukua Jimbo la Mbeya ili awe SPIKA wa Bunge baada ya uchaguzi wa 2020.
When ignorance is bliss to be wise is foolish...
 
Wa kumtoa Sugu Mbeya bado hajazaliwa, Magu atafute porojegit nyingine hii atafeli vibaya!
 
Back
Top Bottom