TAKUKURU anzeni na Tulia Ackson

TAKUKURU anzeni na Tulia Ackson

Huna uhakika mshahara wake ni kiasi gani? Huna hakika Tulia trust ina wadhamini gani? Hofu yako ni Sugu kunyag'anywa Jimbo. Maana kama ana foundation yake alafu anatoa misaada hapo kuna kosa? Kuhusu kusema kama ametumwa na JPM kuchukua jimbo ili awe spika. Naomba utupie video yenye sauti hapa.
Tupe wewe takwimu za ukweli kuhusu Tulia. Mshahara wake ni ngapi? Na nani wachangiaji wa Tulia Trust Fund?
Je kwenye Tume ya maadili ame declare nini?
Usipende kuwa kama robot kujifanya unajibu kila kitu kinachoelekezwa kwa mwana CCM kwa vile analipwa na PolePole
 
Yeye anakibali toka Takukuru,si unaona hata anapotoa rushwa pale uyole kwenye kasakosi kake na walinzi anao.
 
Tupe wewe takwimu za ukweli kuhusu Tulia. Mshahara wake ni ngapi? Na nani wachangiaji wa Tulia Trust Fund?
Je kwenye Tume ya maadili ame declare nini?
Usipende kuwa kama robot kujifanya unajibu kila kitu kinachoelekezwa kwa mwana CCM kwa vile analipwa na PolePole
Wewe ambae una nia njema ya kulisaidia taifa. Kwa sababu una mashaka na namna anavyogawa pesa na wapi Tulia trust inapata pesa? Nenda ofisi za takukuru hapo Mbeya,hawana iana watafungua faili ili uchunguzi ufanyike.
Kwani ofisi za tume ya secretariat ya maadili ya utumishi wa umma hufahamu zilipo?
Alafu acha habari za kuita watu robots,heshima ni kitu cha bure.
 
Yeye anakibali toka Takukuru,si unaona hata anapotoa rushwa pale uyole kwenye kasakosi kake na walinzi anao.
TAKUKURU sometimes nao ni kama hawana meno mpaka watumwe na JPM.
 
Wewe ambae una nia njema ya kulisaidia taifa. Kwa sababu una mashaka na namna anavyogawa pesa na wapi Tulia trust inapata pesa? Nenda ofisi za takukuru hapo Mbeya,hawana iana watafungua faili ili uchunguzi ufanyike.
Kwani ofisi za tume ya secretariat ya maadili ya utumishi wa umma hufahamu zilipo?
Alafu acha habari za kuita watu robots,heshima ni kitu cha bure.
Uzi niliwaandikia TAKUKURU kwa mujibu wa sera yao ya whistle blowing. Sasa wewe kitu gani kilikufanya uanze kumtetea?
 
Kwa hii corona tunaanguka nao haponi kiumbe, next election lazima nchi iwe mikononi mwa chama mbadala, hawa nzi wa kijani tumewakinai
 
TAKUKURU ipi hii hii ya kupambana na wapinzani wa Magu?
Hata siku moja hawawezi kumhoji tulia labda 2030
Nashukuru kwa mchango wako na kutambua kuwa jinai haiozi kwa hiyo hata 2030 huyu Kigagula Tulia aweza simama kizimbani.
[/QUOTE]
Mmawia njoo huku
 

Nakubaliana na hilo lakini sisi kama Wa Tanzania wenye akili timamu wajibu wetu ni kukosoa pale tunapoona pana matatizo au ukakasi.

Tuendelee kupaza sauti, iko siku TAKUKURU watalifanyia kazi.
[/QUOTE]
Hatimaye naye Tulia Ackson ni mbunge wa kawaida. Wale waliodhani atakuwa PM endeleeni na ndoto zenu.
 
Back
Top Bottom