Shirika la la habari la Kimataifa Al Jazeera imetoa ripoti inayoonyesha kiasi gani Iran imeathirika katika mashambulizi yanayoendelea dhidi yake katika mashambulizi yaliyoanzishwa na Israel pamoja na mshirika wake Marekanin yaliyoanza February 28, 2026 na mpaka sasa yanaendelea
Ripoti hiyo imeonyesha takeibani watu 1,300 wameuawa na mamilioni kupoteza makazi yao.
Baadhi ya miundombinu iliyoharibiwa ni
Ripoti hiyo imeonyesha takeibani watu 1,300 wameuawa na mamilioni kupoteza makazi yao.
Baadhi ya miundombinu iliyoharibiwa ni
- Majengo ya Afya- 160
- Nyumba/ Makazi- 17,353
- Majengo ya elimu?shule- 69
- Majengo ya biashara- 4,122
- Majengo ya kikosi cha Msaada Iran(Red Cresent)-16