Take Care People!!!Men at Work.

DUH......
sasa na vilaptop vyetu hivi used mbona mwaka huu kazi ipo?? mpaka mwaka huu wa bajeti uishe tutakua tushakimbia mjini..

Kikatie bima kilaputopu chako wasije kukuzidi mahesabu watoto wa jiji.
 
Tunashkur mkuu,cc ambao 2ko mikoani huku huwa tunaonewaga!SASA hata nikija Tz,nakuwa carefu na sampo kama izo

Karibu Tz ila macho yawe wazi kuna watu wamejiajiri kwenye sekta zisizo rasmi halafu pia kuna walioenda mbali zaidi wamejiajiri katika sekta isiyo rasmi plus haramu.
 
Hawa jamaa ni hatari, wamenijaribu mara kadhaa bila mafanikio..Huwa natumia principle yangu moja tu "I dont mess with anyone I dont know". Kuna siku jamaa alinisimamisha maeneo ya ubungo stand ya mkoa kwenye kituo cha basi kwenda mjini majira ya saa mbili kasoro usiku na kuanza mazungumzo nami
Jamaa: Samahani za leo
Mimi:Nzuri
Jamaa: Hapa naweza pata gari za masaki?
Mimi:Hapana,labda upande gari za msasani halafu ukapande gari nyingine mbele kwa mbele ,kondakta atakueleza zaidi

Tukiwa tunaendelea na mazungumzo akajitokeza mshikaji aliyeonekana kufuatilia maongezi yetu na kudakia mazungumzo nitamwita rafiki

Rafiki: ebwana vipi, anataka kwenda Masaki?
Mimi: Ndio
Rafiki: Sasa hapa unapanda gari za Msasani ukishuka unapanda bajaji,kwani unaelekea Masaki sehemu gani?
Jamaa:Barrick
Rafiki: Barrick saa mbili usiku huu? au una appointment na mtu pale?
Jamaa:Ndio,nina madini nauza kuna mtu pale naenda kuonana nae anisaidie kunielekeza wapi nitauza kirahisi
Rafiki: Ebwana angalia mjini hapa mzee,kuwa makini! Sasa hakuna shida mimi najua masoko tutakusaidia na mshikaji hapa utauza hayo madini ila na sisi itabidi ututoe.
Jamaa: Sawa haina shida,nitashukuru sana
Mimi: Sasa kwa sababu rafiki anajua mahali pa wewe kuuza madini yako atakusaidia mimi nina mambo yangu mengi nikasepa

Nikaondoka kisha nikasimama mbele kidogo kuna jamaa anauza pweza nikanza gonga kipande moja baada ya nyingine huku nawacheki kwa kuibia,walikuwa wakiniangalia kwa makini na hasira hivi,kama watu wanaotafuta namna ya kuni attack.baada ya dakika chache nilipotupa jicho sikuwaona tena..

Kuwa makini na matapeli na usisahau hawana alama usoni!!
 
Hawa jamaa ni hatari, wamenijaribu mara kadhaa bila mafanikio..Huwa natumia principle yangu moja tu "I dont mess with anyone I dont know". Kuna siku jamaa alinisimamisha maeneo ya ubungo stand ya mkoa kwenye kituo cha basi kwenda mjini majira ya saa mbili kasoro usiku na kuanza mazungumzo nami
Jamaa: Samahani za leo
Mimi:Nzuri
Jamaa: Hapa naweza pata gari za masaki?
Mimi:Hapana,labda upande gari za msasani halafu ukapande gari nyingine mbele kwa mbele ,kondakta atakueleza zaidi

Tukiwa tunaendelea na mazungumzo akajitokeza mshikaji aliyeonekana kufuatilia maongezi yetu na kudakia mazungumzo nitamwita rafiki

Rafiki: ebwana vipi, anataka kwenda Masaki?
Mimi: Ndio
Rafiki: Sasa hapa unapanda gari za Msasani ukishuka unapanda bajaji,kwani unaelekea Masaki sehemu gani?
Jamaa:Barrick
Rafiki: Barrick saa mbili usiku huu? au una appointment na mtu pale?
Jamaa:Ndio,nina madini nauza kuna mtu pale naenda kuonana nae anisaidie kunielekeza wapi nitauza kirahisi
Rafiki: Ebwana angalia mjini hapa mzee,kuwa makini! Sasa hakuna shida mimi najua masoko tutakusaidia na mshikaji hapa utauza hayo madini ila na sisi itabidi ututoe.
Jamaa: Sawa haina shida,nitashukuru sana
Mimi: Sasa kwa sababu rafiki anajua mahali pa wewe kuuza madini yako atakusaidia mimi nina mambo yangu mengi nikasepa

Nikaondoka kisha nikasimama mbele kidogo kuna jamaa anauza pweza nikanza gonga kipande moja baada ya nyingine huku nawacheki kwa kuibia,walikuwa wakiniangalia kwa makini na hasira hivi,kama watu wanaotafuta namna ya kuni attack.baada ya dakika chache nilipotupa jicho sikuwaona tena..

Kuwa makini na matapeli na usisahau hawana alama usoni!!

Definitely men at work.Walikuwa wanataka kuku-set ili uingie kwenye mtego wao ila wewe ukawaponyoka kama kambale ukateleza.Wabaya sana hawa watu kwa muda wa dakika 30 unakuwa tayari umeshazidiwa mahesabu.
Binadamu wabaya sana hasa wakiwa wanawinda mtu kwa minajili ya kujipatia fedha yaani hawana huruma hata kidogo,ubinadamu haupo kabisa.
 
kweli mkuu inabidi tukate bima..ila kwa upepo huu unaweza kukuta hata bima bado ukapewa ya kuchakachua

Ha..ha bima feki zipo yaani watu wanatafuta hela kwa nguvu mpaka wanatishia amani.
 
Hawa jamaa ni hatari sana maana hawana alama usoni. Ni kuwa makini tu.
 
Hawa jamaa ni hatari sana maana hawana alama usoni. Ni kuwa makini tu.

Kweli mkuu wako kawaida sana na sio rahisi kuwatilia mashaka.Wana confidence sana na ni watu wanaoweza kujieleza bila kukwamakwama.Very smart people who make pre-calculated moves.
 
mbaya zaidi, hawa jamaa wanafuatilia watu tokea bank..hii ilitokea kwa mama flani ninayemfahamu ..ambaye alifuatiliwa na mwanamke mwenzake ambaye alimtapeli kwa staili kama hiyo ya dhahabu..na kuchukua laki 4 zake...nadhani wanatumia dawa pia..maana huyo mama kazubaa anakuja shtuka baadae hata hata senti kwenye pochi..ikabidi apigiewatu simu kwenda mchukua alipo maana hata nauli hakua nayo...so issue ya dhahabu au madini achaneni nayo....na si kila mtu ni wa kuongea nae....unatiririka tu,....wengine sio watu...
 
mbaya zaidi, hawa jamaa wanafuatilia watu tokea bank..hii ilitokea kwa mama flani ninayemfahamu ..ambaye alifuatiliwa na mwanamke mwenzake ambaye alimtapeli kwa staili kama hiyo ya dhahabu..na kuchukua laki 4 zake...nadhani wanatumia dawa pia..maana huyo mama kazubaa anakuja shtuka baadae hata hata senti kwenye pochi..ikabidi apigiewatu simu kwenda mchukua alipo maana hata nauli hakua nayo...so issue ya dhahabu au madini achaneni nayo....na si kila mtu ni wa kuongea nae....unatiririka tu,....wengine sio watu...

Inawezekana kuna mbinu za kishirikiana au dawa fulani ya kupumbaza akili...Ni hatari sana na linaweza kumkuta mtu yeyote.
 
Wanaoibiwa nao maboya sana. Yaani mtu anakuambia ana madini ya dhahabu halafu wewe unaamini kirahisirahisi tu.
 
Wanaoibiwa nao maboya sana. Yaani mtu anakuambia ana madini ya dhahabu halafu wewe unaamini kirahisirahisi tu.
Wengine wanakuwa na mambo ya ushirikina kwa hiyo unakuwa kama umepumbazwa vile. Ukishaibiwa ndio fahamu zinakurudia..
 
Wanaoibiwa nao maboya sana. Yaani mtu anakuambia ana madini ya dhahabu halafu wewe unaamini kirahisirahisi tu.

Dont go there binti.Hawa watu ni hatari sana.I think they have some kind of a voodoo spell or a brainwashing technique.By the time you are back to your senses,they are loooong gone.
 
Hakuna cha sababu za kumcheka!hawa jamb ni noma siku hiz wanatumia mazingambwe....
Kuna dada mmoja maeneo ya kimara mwisho naye yalimkuta hayo.Alijikuta anawapeleka matapeli waliodai ni waganga nyumbani kwake.Walimwambia kwamba walioteshwa kuhusu matatizo aliyonayo na kwamba wangempatia tiba.Dada alijikuta akiwapeleka home na kuwakabidhi bila hofu wala wasi TV,radio,woofer n.k.Ile jamaa wanampa kisogo tu ndo akastukia jina la mchezo kwamba keshapigwa na wajanja,i mean ameogeshwa roundabout saa 6 mchana kweupeeee bila ukungu.
 
Kuna dada mmoja maeneo ya kimara mwisho naye yalimkuta hayo.Alijikuta anawapeleka matapeli waliodai ni waganga nyumbani kwake.Walimwambia kwamba walioteshwa kuhusu matatizo aliyonayo na kwamba wangempatia tiba.Dada alijikuta akiwapeleka home na kuwakabidhi bila hofu wala wasi TV,radio,woofer n.k.Ile jamaa wanampa kisogo tu ndo akastukia jina la mchezo kwamba keshapigwa na wajanja,i mean ameogeshwa roundabout saa 6 mchana kweupeeee bila ukungu.

Sasa kesi kama hiyo utakwepa vipi....!!
 
Back
Top Bottom