Take a look

Take a look

Bilionea Asigwa

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2011
Posts
16,578
Reaction score
28,701
Mliosoma shule za BWENI mkiiona hii picha mnakumbuka WAPI na LINI.??

attachment.php
 

Attachments

  • imhjkages.jpg
    imhjkages.jpg
    8.1 KB · Views: 1,900
Jamani we asigwa acha hizo bana unanikumbushia mbali enzi zile za shule unaenda kuyawekea sukari au unamiminia chilisosi haaaa mlo kamili,chezeya maisha ya shule wewe!!!!!!! NIGGA njoo uone alichotuwekea asigwa hapa leo,inakukumbusha wapi?afu hujanipa zawadi ya valentine leo kwa nini bana?afu misssssssssssing you soooooooo!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Jamani we asigwa acha hizo bana unanikumbushia mbali enzi zile za shule unaenda kuyawekea sukari au unamiminia chilisosi haaaa mlo kamili,chezeya maisha ya shule wewe!!!!!!! NIGGA njoo uone alichotuwekea asigwa hapa leo,inakukumbusha wapi?afu hujanipa zawadi ya valentine leo kwa nini bana?afu misssssssssssing you soooooooo!!!!!!

Hehehehe Asingwa ananikumbusha enzi hizo ilboru 1998,tunakula iyo kitu daily
mpishi akiwa jamaa anajiita anko,please find the attached Valentine cards special for you
HAPPY VALENTINE BLUE G!! VL.jpeg VAL.jpeg
 
Jamani we asigwa acha hizo bana unanikumbushia mbali enzi zile za shule unaenda kuyawekea sukari au unamiminia chilisosi haaaa mlo kamili,chezeya maisha ya shule wewe!!!!!!! NIGGA njoo uone alichotuwekea asigwa hapa leo,inakukumbusha wapi?afu hujanipa zawadi ya valentine leo kwa nini bana?afu misssssssssssing you soooooooo!!!!!!
Dah mkuu kweli tuntoka mbali sana...enzi hizo wali kuunusa ni mara moja kwa wiki...
Kuna watu walikua wanayatunza wananywea UJI asubuhi yaani ikifika saa 6 kuelekea saa 7 mchana ni full kusunzia...
 
Tushakula sana mende na majasho ya hawa jamaa
Teh mkuu walikua wanasemaga eti majasho ya hawa watu yanaongeza VITAMINI....
Halafu kitu ilikua inaongezewa MAFUTA YA TAA kukata vijana STIMU...kaazi kweli kweli....
 
Jamani NIGGA asante,thank you a lot the cards are mwaaaaaaaaaaaaaa!you know how to sort.May you enjoy your day.......
Hehehehe Asingwa ananikumbusha enzi hizo ilboru 1998,tunakula iyo kitu daily
mpishi akiwa jamaa anajiita anko,please find the attached Valentine cards special for you
HAPPY VALENTINE BLUE G!!View attachment 83149View attachment 83151
 
Last edited by a moderator:
Maisha ya shule bwana weee acha tu!walioimba maisha ya shule ni safari ndefu hawakukosea.
Dah mkuu kweli tuntoka mbali sana...enzi hizo wali kuunusa ni mara moja kwa wiki...
Kuna watu walikua wanayatunza wananywea UJI asubuhi yaani ikifika saa 6 kuelekea saa 7 mchana ni full kusunzia...
 
Hehehehe Asingwa ananikumbusha enzi hizo ilboru 1998,tunakula iyo kitu daily
mpishi akiwa jamaa anajiita anko,please find the attached Valentine cards special for you
HAPPY VALENTINE BLUE G!!View attachment 83149View attachment 83151
Dah kweli mkuu...tumetoka mbali sana...mie nakumbuka nilikua na bonge la KOPO la mafuta ya KIMBO kama la kilo mbili hivi...nikijaza mzigo humo nikaumaliza msuli wake asikwambie mtu....
 
Dah aisee kumbe karibu kila mahali hii kitu ilikua inaliwa...tumetoka mbali sana....

hivi kuna shule ambayo hawajakula ugali harage, na kande? umesahau bulga dah! huu msosi nlikuwa siupend mimi usipime
 
Maisha ya shule bwana weee acha tu!walioimba maisha ya shule ni safari ndefu hawakukosea.
Kweli mkuu...maisha ya shule siri ya aliyeyapitia...na ukishakaa sana lazima kuna vijitabia utajifunza tuu hata kama hutaki..Kama kutojipenda penda na kuwa rough ni kawaida sana
 
Kama mimi ndio usiseme nilkiuwa rough wa kupita dahhhhhh kweli tuntoka mbali sana aiseee!!!!!!
Kweli mkuu...maisha ya shule siri ya aliyeyapitia...na ukishakaa sana lazima kuna vijitabia utajifunza tuu hata kama hutaki..Kama kutojipenda penda na kuwa rough ni kawaida sana
 
Kweli mkuu...maisha ya shule siri ya aliyeyapitia...na ukishakaa sana lazima kuna vijitabia utajifunza tuu hata kama hutaki..Kama kutojipenda penda na kuwa rough ni kawaida sana
Na ukizingatia shule yenyewe ni boys tupu au girls tupu ndo kabisa.
 
Miguu imenicheza na moyo umechituka ... Nahisi kichwa kinaniuma kwa mbali, kwani assume ndo shule imefunguliwa hapo, mmmmh mpaka ifike june....ni noma!
 
Kaka sio makande hayo? Aah! We acha tu!
 
Dah kweli mkuu...tumetoka mbali sana...mie nakumbuka nilikua na bonge la KOPO la mafuta ya KIMBO kama la kilo mbili hivi...nikijaza mzigo humo nikaumaliza msuli wake asikwambie mtu....

we use to call em KAYAMBA,yale mabakuli makubwa lol,kuna siku watu walikuta panya kwenye kande
it was uncomfortable
 
Jamani NIGGA asante,thank you a lot the cards are mwaaaaaaaaaaaaaa!you know how to sort.May you enjoy your day.......

ur welcom my dear,ngoja niku pm,nisije pigwa na my shem bure lol
 
Back
Top Bottom