Vijana hawa wa stunt za ufahari kwenye mitandao ya kijamii haswa kutokea Africa na South America ni kawaida yetu, ila wanajitokeza na misimu haina shaka kuwa tutawakumbuka baada ya kupotea kwenye social platforms as others waliotangulia pia, kuweni makini unapo publicize watu wanaoishi poa which is not bad kuishi hivyo ila kuwa ni "matajiri "bila data sahihi kama Forbes wanavyopata vibali rasmi, mtawaletea shida nyingi baadae. Ila tunajua kuwa ni watoto wa vigogo wa siasa, madawa ya kulevya, dili chafu kama civil wars, racketeering n.k. Nimewakumbuka akina Jimmy Mcmele, Kavishe na wana aisee, R.I.H Bros!
NB: Nisinukuliwe vibaya, it's not biasness nor hating ila i know for them facts. Kuweni makini kuwasemea watu maisha yao bila wao kufanya ridhaa ya comfirmation ya uhalali wa wanachuvuna na kucirculate kwenye economy ya taifa na kimataifa.