Mavipunda
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 7,182
- 8,005
Kosa langu ni kusema ukweli..the way ulivyoandika kama sio umetoka uswahilini basi umeishia kidato cha nne una msongo wa mawazo kwa taarifa yako tu kaka zake hao jamaa nilisoma nao
Nenda na wewe kawe acheni watu wale maisha yao HIVI WABONGO tutabadilika lini...ukiona mwenzio anakidh mahitaji yake kwa njia yoyote ile muache na wewe ukiona umebanwa sana tafuta njia yoyote ukidhi mahitaji yako ili watoto wazazi wasife njaa...mtaftaji jasiri na anaetambuwa uwepo wake katika majukumu yake kwenye family au ukoo wake yupo dhari yeye ata afe aachie watoto au wazazi wake wasiwe na msongo wa mawazo....Hivi mnajiona ni watoto wakiume kweli kuanza kusema mwenzio sijui muuza madawa sijui freemason ili hali unamuona anafanikiwa...wewe kufa na njaa yako acha wanaume wadhubutu kwani hela ya madawa inafanya kazi gani mtaani ni kukidh mahitaji na matwakwa ya familia au koo yako .....Ni hayo tu


🤣🤣