Taja Series 3 Bora Ulizowahi Kutazama

Napenda ile misemo yao

"They coming"

"Who is coming"?

"Others"

Who is others?
miaka mi3 iliyopita Mr. Ecko alitua zanzibar, tukiwa pale airport ya zanzibar, kila 1 akaanza mshangaa mpaka hao watu wa uhamiaji na askari ndani ya airport waliomba kupiga nae picha, jamaa ni massive na giant ile mbaya
 
Binafsi sijui kwanini game of the throne imekuwa gumzo,bora hata prisonbreak baada ya maneno mengi niliamua kuicheck na nika appreciate,lakini hii game of the throne sioni namna gani itaizidi hii nayotazama sasa ya ,Lord of the skies,kina jitu kumbuka Aurelio cassila,mnyama Chema venigar,mzee Feo,Rais omar Tellane,kijana Victor mwana wa chikota,katili official na schemer Engineer mzee wa mwendo pole bila kumsahau military strategist Harvey,Tim rawling etc
Prison break wamecopy series 1 inaitwa OZ
 
Dar Adal
Saul
Abu Nazzar
Issa
Nick Brody
Hakuna series bora kama hii
Dah, umenikumbusha sana mule ndani yaliyojiri.

Abu Nazzir aliwasumbua sana CIA.

Nick Brody alikuwa double agent huyu na Carrie Mathison ndiye aliyejua ukweli na kushuhudia kifo chake akiwa ananyongwa uarabuni live.
 
Dah, umenikumbusha sana mule ndani yaliyojiri.

Abu Nazzir aliwasumbua sana CIA.

Nick Brody alikuwa double agent huyu na Carrie Mathison ndiye aliyejua ukweli na kushuhudia kifo chake akiwa ananyongwa uarabuni live.
hii kitu hatari sana kuna matukio ya kuogofya sana kule Iraq Carry alikuwa anacheza kama Pele afu kuna jamaa alikuwa geniuos sana kamsave sana Carry nimesahau jina lake
 
Dah, umenikumbusha sana mule ndani yaliyojiri.

Abu Nazzir aliwasumbua sana CIA.

Nick Brody alikuwa double agent huyu na Carrie Mathison ndiye aliyejua ukweli na kushuhudia kifo chake akiwa ananyongwa uarabuni live.
Niliumia sana yule jamaa kunyongwa. Ilinichukua muda sana kuja kuendeleza kuangalia season 4
 
hii kitu hatari sana kuna matukio ya kuogofya sana kule Iraq Carry alikuwa anacheza kama Pele afu kuna jamaa alikuwa geniuos sana kamsave sana Carry nimesahau jina lake
Dada jasusi mahiri sana, uwezo wake wa kufanya comaflauge na kudeal na arabs ulipelekea kuwa permanent asset kwenye CIA.

Yule jamaa anitwa Peter Quinn. Alimsave sana Carrie japo alikufa kwa kujitolea maisha yake ili Carrie na rais wasiuliwe.

Kama sio huyo basi ni yule babu Soul Berenson , kama myahudi fulani hivi, alikuwa kwenye mission nyingi za uarabuni.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom