Taja Series 3 Bora Ulizowahi Kutazama

Genius sana, kuna statement moja alitoa naikumbuka paka leo, kwenye background story yake inaonesha alizaliwa njiti premature mamake hakufisha miezi 9.
Sasa Walikuwa wamemfunga lock up,
Akawaambiwa, "You can't keep me in here forever, I was born 3month early, even my mother couldn't keep me in there"View attachment 1106271
Anatia hasira sana na hayo macho yake, ngoja nitafute tena niirudie haijawahi kunichosha
 
1. The Storm
2. Storm in Paradise
3. My Heart Beats for Lola Volcan
4. Daniela
5. Face of Destiny
6. Where is ELISA
7. Second Chnce
8. Part of ME
 
Genius sana, kuna statement moja alitoa naikumbuka paka leo, kwenye background story yake inaonesha alizaliwa njiti premature mamake hakufisha miezi 9.
Sasa Walikuwa wamemfunga lock up,
Akawaambiwa, "You can't keep me in here forever, I was born 3month early, even my mother couldn't keep me in there"View attachment 1106271
Yupo sawa sana na ana kiingereza kizuri mno
 
Legend of the seeker
City Hunter....ziko nyingi 3 pekee hazitoshi asee

Hivi nani aliangalia arijun ek odha jamanii😂???
 
Anatia hasira sana na hayo macho yake, ngoja nitafute tena niirudie haijawahi kunichosha
Umeangalia person of interest

Ila wenzetu wanajua sana kuigiza na huyu kitaaluma ni muigizaji kabisa ana masters ya fine art na degree ya film and theatre

Ana majibu huyu jamaa halafu akielezea profile ya mtu mpaka utapenda

Unakumbuka alivyokua ana mwelezea yule commander aliyekuja kumkamata mpaka alex mwanae akapigwa risasi
 
Anatia hasira sana na hayo macho yake, ngoja nitafute tena niirudie haijawahi kunichosha
Unakumbuka hapa walivyokua wanamzika John locke jamaa akaambiwa atoe neno kwa marehemu akasema mimi ndio nimemuua
Screenshot_2019-05-24-11-20-30.jpg
 
Genius sana, kuna statement moja alitoa naikumbuka paka leo, kwenye background story yake inaonesha alizaliwa njiti premature mamake hakufisha miezi 9.
Sasa Walikuwa wamemfunga lock up,
Akawaambiwa, "You can't keep me in here forever, I was born 3month early, even my mother couldn't keep me in there"View attachment 1106271
Ni manipulator wa hali ya juu sana ukimpa nafasi ya kuongea lazima uingie kingi ndio maana John locke alisema wamfunge mdomo maana ndio silaha yake kubwa
 
Ni manipulator wa hali ya juu sana ukimpa nafasi ya kuongea lazima uingie kingi ndio maana John locke alisema wamfunge mdomo maana ndio silaha yake kubwa
Napenda sana character wa namna hii... Wanaitwa watu wenye silver tongue
kama Raymond Redington kwenye Blacklist
Hata kwenye maisha ya uhalisia wapo sana hawa watu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom