DAVID PALMER
JF-Expert Member
- Jan 19, 2020
- 285
- 1,448
Nilipokopa huo mkopo mkubwa nnaokatwa 700k nkaenda kuclear na loan board ilikua kama nadaiwa 1.4m hv. Niliamua kuclear baada ya samia kutoa ile ofa mkopo ukapunguaDah mkuu uko TPDC nini mimi baada ya kukatwa miwili ya bank nabaki na 345000
Hio nikisema niisambaze kwa wenyewe ni siku mbili tu nabaki na HEWA...vipi wa loans board huna?