Taja habari zinazo trendi kwa sasa!!

Taja habari zinazo trendi kwa sasa!!

jamaikatz

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2023
Posts
369
Reaction score
1,252
Mohamed Hussein Zimbwe Junior anatembea na Mkataba wa Yanga!!

Zinazoonekana Mtandao siyo Romans bali ni Ukweli,
Wakala wa Mohamed Hussein alikutana Na Uongozi wa Yanga Palm Hotel akapewa mkataba,Siku ambayo wakala wake alifata mkataba Walienda na Mchezaji hadi Hotelini akamuacha kwenye gari then Wakala akafata mkataba.

Mohamed Hussein anatembea na Mkataba wa Yanga bado hajasaini hadi Sasan,Mkataba Wenye thamani ya Tsh Million 500 alipewa.
Mohamed Hussein hadi Sasa hajasaini mkataba wa Yanga bado anasubiri Offer za Simba kama Ataridhika asaini..

Mohamed ameweka mapenzi kwa Simba,Miezi miwili anatembea na Mkataba wa Yanga Wenye thamani ya Tsh Million 500, , Mohamed Hussein Siyo Jonas Mkude au Chama.
Kwake Simba ipo Moyoni Respect kwa Captain Huyu,I know to This stori kitambo Sana ila Leo nimewaletea.

Muhimu Simba wampe Pesa Nzuri ili aweze Kusaini pia itakuwa respect kwa wazawa kupewa thamani kama wanayopewa Wageni..
 
" Sina mpango wa kuoa kwa sasa bado nadebedesha." Pawpaw

Muigizaji nguli kutoka kiwanda cha Nollywood kule Nigeri Osita Iheme maarufu kama Ukwa au Pawpaw, amesema kua Hana mpango wa kuoa wala kupata watoto.

“Nina miaka 43 tayari, sina mpango wa kuoa, nataka tu kuishi maisha yangu na kuwasaidia wale waliokaribu nami. Ndugu zangu wa kiume na wa kike wana watoto, nawaona kama watoto wangu,” amesema Osita Iheme

Licha ya kuwa na utajiri wa zaidi ya dola milioni 3 za Kimarekani Pawpaw ameamua kubaki mwenyewe bila mke wala na watoto kaamua kuendelea kudebedesha katika mitaa ya Lagos Nigeria.
 
''VIDEO NA WIMBO WA UBUYU NIMEIRUDISHA UKO MJINI YOUTUBE JANA JIONI CHEZEA h.baba_ MTOTO WA MWANZA MPAKA officialalikiba KASHANGAA NIMEWEZAJE SASA NATOA TAARIFA HII YULE DOGO ALIEJICHANGANYA KUSHUSHA WIMBO WA 👑 UBUYU TUTADEAL NAE KAZOEA MASHABIKI WA @officialalikiba TUKUTANE YOUTUBE TUKASHAMBULIE KUTAZAMA WIMBO MKALI VIDEO KALI NANI APENDI UBUYU!! NIMETOA MSAADA NARUDI ZANGU NILIPO UKU KWA WATU!!.Ameandika-H baba
 
Mohamed Hussein Zimbwe Junior anatembea na Mkataba wa Yanga!!

Zinazoonekana Mtandao siyo Romans bali ni Ukweli,
Wakala wa Mohamed Hussein alikutana Na Uongozi wa Yanga Palm Hotel akapewa mkataba,Siku ambayo wakala wake alifata mkataba Walienda na Mchezaji hadi Hotelini akamuacha kwenye gari then Wakala akafata mkataba.

Mohamed Hussein anatembea na Mkataba wa Yanga bado hajasaini hadi Sasan,Mkataba Wenye thamani ya Tsh Million 500 alipewa.
Mohamed Hussein hadi Sasa hajasaini mkataba wa Yanga bado anasubiri Offer za Simba kama Ataridhika asaini..

Mohamed ameweka mapenzi kwa Simba,Miezi miwili anatembea na Mkataba wa Yanga Wenye thamani ya Tsh Million 500, , Mohamed Hussein Siyo Jonas Mkude au Chama.
Kwake Simba ipo Moyoni Respect kwa Captain Huyu,I know to This stori kitambo Sana ila Leo nimewaletea.

Muhimu Simba wampe Pesa Nzuri ili aweze Kusaini pia itakuwa respect kwa wazawa kupewa thamani kama wanayopewa Wageni..
NO REFORMS, NO ELECTION.
 
🔥SIHA 2025: Moto Unazidi Kuwaka!🔥

Umaarufu kwa wananchi 💯, mvuto wa kisiasa 💥 na uzoefu serikalini 🏛️—vyote hivi vinawapa nguvu watia nia wanaowania kuteuliwa na CCM kugombea ubunge Jimbo la Siha.
Lakini swali ni moja tu: NANI ATAPITA SAFARI HII? 🤔

Macho yote sasa yako kwa Kamati Kuu ya CCM, huku majina mawili yakiibua mjadala mzito mitaani na mitandaoni:

🔹 Dkt. Godwin Mollel – Naibu Waziri wa Afya, kijana mwenye kasi ya utendaji.
🔸 Mzee Aggrey Mwanri – Mkongwe wa siasa, msemaji wa “Kamata Sukuma Ndani”, mwenye historia ya ushawishi mkubwa.

📊 Rewind 2020 – Kura za maoni:
1️⃣ Dkt. Mollel – 148
2️⃣ Mwanri – 147
3️⃣ Tumsifu Kwema – 53

⚠️ Tofauti ya kura 1 tu kati ya wawili hawa imeacha pengo la sintofahamu hadi leo!
Sasa ni 2025... je, historia itajirudia au tutashuhudia SURPRISE ya kisiasa? 😲

👇Tuambie unamtazamia nani kuibuka mshindi?
 
BillNass anasena anasiku ya tatu (3) sasa hasikii njaa kwasababu ya uzuri wa Nandy😂😂. Nenga anasema akimungalia tu Nandy anashiba. Ya kweli haya wadau au ndiyo.....😂😂😂
 
Mohamed Hussein Zimbwe Junior anatembea na Mkataba wa Yanga!!

Zinazoonekana Mtandao siyo Romans bali ni Ukweli,
Wakala wa Mohamed Hussein alikutana Na Uongozi wa Yanga Palm Hotel akapewa mkataba,Siku ambayo wakala wake alifata mkataba Walienda na Mchezaji hadi Hotelini akamuacha kwenye gari then Wakala akafata mkataba.

Mohamed Hussein anatembea na Mkataba wa Yanga bado hajasaini hadi Sasan,Mkataba Wenye thamani ya Tsh Million 500 alipewa.
Mohamed Hussein hadi Sasa hajasaini mkataba wa Yanga bado anasubiri Offer za Simba kama Ataridhika asaini..

Mohamed ameweka mapenzi kwa Simba,Miezi miwili anatembea na Mkataba wa Yanga Wenye thamani ya Tsh Million 500, , Mohamed Hussein Siyo Jonas Mkude au Chama.
Kwake Simba ipo Moyoni Respect kwa Captain Huyu,I know to This stori kitambo Sana ila Leo nimewaletea.

Muhimu Simba wampe Pesa Nzuri ili aweze Kusaini pia itakuwa respect kwa wazawa kupewa thamani kama wanayopewa Wageni..
Habari za ndoa yangu
 
Jembe ni Jembe ndiye mtu aliyempatia pesa Harmonize kwa ajili ya kuilipa Label yake ya zamani WCB, bwana Tembo hakuwa na Kibunda huyu ndo alikuwa mkombozi wake

Imagine Konde vile alivyovimba dhidi ya Mondi alafu angeenda kwa Jembe angemtolea kwapani kisha Harmonize angerudi kwenye Label yake ya WCB angeishije? Angeishi kwenye Label kama kitoto cha kuku kilichodumbukia kwenye ndoo ya maji na hakuna jua

Inamaanisha Harmonize alianza harakati za kutoka kwenye Label akiwa yupo MBUPU TU bora Jembe alikuwepo aliokoa jahazi la mmakonde

Hata hela za kufungua Label ya KONDE GANG Jembe ni Jembe ndiye aliyempa pesa ya kuanzisha hiyo Label, kwa hiyo leo tumejua kwanini Harmonize alichezea talent za Akina Anjella, Cheed, Killy na hata Country boy……..hivi tungetegemea nini kwa mtu ambaye aliyeanzisha Record Label kwa Mihemko ya kutaka kushindana na Label aliyotoka ya WCB na pesa sio aliyotoa yeye mfukoni? Hapo si ni sawa na kusubiri CCM iimbe wimbo wa No reform s No Election🤣🤣

Kwa kifupi kilichotokea kimeendana na akili iliyotumika kuanzisha Record Label. Kiko wapi saizi Harmonize kabaki mkiwa wasanii wote wameamsha zao hana tofauti na yatima wa kujitakia in mean time ana mkataba wa kibiashara au kikazi na Jembe ni Jembe wa Miaka 10 ninachoamini Harmonize lazima atakuwa na ZIGO LA DENI LA KULIPA KWA JEMBE siamini kama zile hela alizompa akamlipe Diamond Platnumz na zile za kuanzisha Label alitoa kama msaada wa chakula kwenye kituo cha Wazee huyu ni Businessman lazima afikirie returns

Maybe Harmonize alikwepa tu mkopo kausha Damu akapewa pesa kwa mkopo wa kimkakati ambao unaweza usiwe na riba lakini unakuta aliyetoa hela anasema kwa faida yoyote ile tutapata share ya 50/50 lakini mkataba ni miaka kumi calculation zimeshapigwa ambazo msanii wa Chitoholi hawezi kuelewa maana ameishia elimu ya kuhesabia vizibo.

Kwa hiyo huoni kama kuna riba na huoni kama ni mkopo lakini overtime utaelewa hiyo kitu. JAPO IELEWEKE KWAMBA JEMBE HAJASEMA ALIMPA MKOPO BALI AMESEMA ALIMSAIDIA

Tusitegemee makubwa kwa msanii Harmonize kwa sababu yupo driven na external forces, kutaka kushindana, kutaka kuonesha, kutaka kupelekwa which is very bad………Kwa mfano wakati anatoka hakupaswa kukimbila hata kidogo kuanzisha Label alipaswa kujiimarisha as independent artist then hizo pesa atumie kama sehemu ya pesa ya kumarket mziki wake lakini aliamua kuwa mtaka yote kwa pupa na tayari la Label limeshakufa kifo cha kawaida tu na hatujui msiba upo wapi? #virals

NB: KUFA NA MAISHA YAKO
 
1752386516767.jpg
 
Kaka mkubwa wa upande wa pili ni bwabwa ndugu hawataki kuamini ilo hawajui wafamye nin?
 
Mohamed Hussein Zimbwe Junior anatembea na Mkataba wa Yanga!!

Zinazoonekana Mtandao siyo Romans bali ni Ukweli,
Wakala wa Mohamed Hussein alikutana Na Uongozi wa Yanga Palm Hotel akapewa mkataba,Siku ambayo wakala wake alifata mkataba Walienda na Mchezaji hadi Hotelini akamuacha kwenye gari then Wakala akafata mkataba.

Mohamed Hussein anatembea na Mkataba wa Yanga bado hajasaini hadi Sasan,Mkataba Wenye thamani ya Tsh Million 500 alipewa.
Mohamed Hussein hadi Sasa hajasaini mkataba wa Yanga bado anasubiri Offer za Simba kama Ataridhika asaini..

Mohamed ameweka mapenzi kwa Simba,Miezi miwili anatembea na Mkataba wa Yanga Wenye thamani ya Tsh Million 500, , Mohamed Hussein Siyo Jonas Mkude au Chama.
Kwake Simba ipo Moyoni Respect kwa Captain Huyu,I know to This stori kitambo Sana ila Leo nimewaletea.

Muhimu Simba wampe Pesa Nzuri ili aweze Kusaini pia itakuwa respect kwa wazawa kupewa thamani kama wanayopewa Wageni..
Huna taarifa kamili zimbwe amesaini yanga na hicho kima ulichokitaja sio kweli,na sio wajibu wangu kukitaja,kilichowazi ni kwamba kasaini yanga tayari.Kilichomfanya asaini yanga ni vurugu zilizoko simba miongoni mwa viongozi wake
 
…wakati raia nchini Gabon 🇬🇦 wakiendelea kumpiga spana Rais wao kwa kurudi nyumbani na kofia ya Trump, huyu Rais wa Mauritania 🇲🇷 yeye anapigwa spana ki vivingine huko nchini kwake…

Raia wanadai Mheshimiwa kalitia aibu taifa wakati wa kujitambulisha kwa Trump…

Rais Ghazaouani alikuwa wa kwanza kujitambulisha, katika wale marais wale watano, walioalikwa pale White House…

Alijitambulisha kwa maneno yafuatayo: 💬 “Naitwa Mohammed Ould El-Ghazouani, natokea nchi ndogo inayoitwa Mauritania…”

Kinachowakera wananchi nchini Mauritania 🇲🇷, ni Rais wao kuitambulisha nchi yao kama nchi “ndogo”…

Mauritania 🇲🇷 ni nchi ya 11 kwa ukubwa Afrika, ikiwa na square kilometres zaidi ya Milioni 1… Mauritania 🇲🇷 ni kubwa kuliko Tanzania 🇹🇿…

Raia nchini humo hawaelewi kabisa, Rais wao anawezaje kuwatambulisha kama “nchi ndogo”… 😁
 
KAWE, DAR ES SALAAM 🟢

Jina la Furaha Dominic – mpwa wa Hayati Rais Dkt. John Magufuli – limegonga mwamba katika hatua ya awali ya mchujo wa ubunge ndani ya CCM Wilaya ya Kawe.

Licha ya jina lake kuibua hisia kutokana na undugu wake na kiongozi wa awamu ya tano, halikuingia kwenye Tatu Bora za ngazi ya wilaya.

Mchakato unaendelea ngazi za juu, huku macho ya wadau wa siasa yakielekezwa kwa hatma ya nani atapeperusha bendera ya CCM 2025 katika jimbo hili lenye mvuto wa kisiasa.
 
Back
Top Bottom