TUZO ZA TAIKON WA FASIHI 2020
Mwaka umeisha, kama ilivyo ada ifikapo mwisho wa mwaka, tarehe kama za leo, nimekuwa na kawaida kutoa Tuzo kwa Watanzania ambao nimewaona wamefanya vizuri katika fani zao, au Nyanja mbalimbali. Tuzo hizi ni sehemu tuu ya kutambua, kuheshimu, kuzikubali, kutoa moyo kwa Watanzania wenzetu waendelee kufanya kazi nzuri zaidi. Nafahamu wapo Watanzania wengi wanaofanya kazi nzuri zaidi lakini hawa watawawakilisha.
Haya Mabibi na Mabwana, ule wakati wa Kutoa Tuzo umewadia, Nitawaomba pale nitakapo taja mshindi wa Tuzo mshangilie kwa furaha na bashasha.
A. TUZO ZA WANASIASA
1. Kiongozi Bora wa kisiasa wa kiume kwa Mwaka 2020
2. Kiongozi Bora wa Kisiasa wa Kike kwa Mwaka 2020
3. Kiongozi Bora wa vyama vya Upinzani kwa mwaka 2020
4. Kiongozi Bora wa chama tawala CCM kwa mwaka 2020
5. Mwana CCM Bora aliyeitangaza CCM Mtandaoni bila kulipwa chochote na chama chake kwa mwaka 2020
6. Mpinzani bora aliyetangaza CHADEMA Mtandaoni bila kulipwa chochote kwa Mwaka 2020
7. Mwanapropaganda bora kwa mwaka 2020
8. Chama cha Bora cha kisiasa kwa mwaka 2020
9. Mwanasiasa aliyeongoza kwa kusemwa iwe kwa zuri au kwa Baya kwa mwaka 2020
B. TUZO ZA SANAA, MICHEZO NA BURUDANI
1. Mwana muziki Bora kwa mwaka 2020
2. Mwana Muziki Bora wa Kike kwa mwaka 2020
3. Mchoraji Bora kwa mwaka 2020
4. Muigizaji bora wa kiume kwa mwaka 2020
5. Mwigizaji Bora wa Kike kwa mwaka 2020
6. Mchekeshaji Bora wa Stand up comedy kwa Mwaka 2020
7. Kwaya bora kwa mwaka 2020
8. Mwandishi bora wa Fasihi(Riwaya) kwa Mwaka 2020
9. Mchezaji Mpira bora kwa mwaka 2020
10. Mkalimani Bora wa filamu kwa mwaka 2020
11. Producer na Dj bora wa muziki kwa mwaka 2020
12. Mchekeshaji bora kwa mwaka 2020
13. Bondia Bora wa Masumbwi kwa mwaka 2020
C. TUZO ZA KIJAMII, UTAMADUNI NA MEDIA
1. Kungwi Bora kwa mwaka 2020
2. Mhamasishaji bora wa Mtandaoni kuchangia wahitaji kwa mwaka 2020
3. Mtandao Bora wa Kijamii katika Nchi yetu kwa mwaka 2020
4. Mchangiaji Bora wa mitandao ya Kijamii kwa mwaka 2020
> Infantry Soldier wa jamii Forum
5. Kampuni ya Mabasi inayotoa huduma Bora kwa mwaka 2020
6. Kiongozi wa Dini aliyetoa huduma bora kwa mwaka 2020
7. Msomaji bora wa simulizi kwa sauti kwa mwaka 2020
8. Shule bora kwa mwaka 2020
9. Mganga bora wa masuala ya Miti, uganga, ulozi na uchawi kwa mwaka 2020
D. TUZO ZA UCHUMI NA BIASHARA
1. Mfanyabiashara bora kwa mwaka 2020
2. Mtangazaji bora mbunifu kwa mwaka 2020
3. Kijana mwenye kuhamasisha zaidi vijana kujiletea maendeleo kwa vitendo 2020
4. Mhamasishaji bora (Motivational speaker) kwa nadharia 2020
5. Mkulima bora mdogo na mhamasishaji wa kilimo 2020
6. Dalali bora kwa mwaka 2020
7. Mkoa bora wenye fursa nyingi Tanzania kwa mwaka 2020
Niwapongeze wale wote waliopata bahati ya kupata Tuzo hizi. Ni katika jitihada za kutambua kazi za wale waliofanya vizuri.
Muandaaji wa Tuzo,
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
0693322300