Taikon wa Fasihi awards 2020

Taikon wa Fasihi awards 2020

Mkuu biashara ni matangazo
Kabla hujatangazwa, jitangaze. Hiyo ni kanuni Mzee Baba.

Bila mitandao unafikiri huduma zingekuwaje?
Tafsiri yake ni kwamba kuna watu wsliofanya makubwa kuliko hata baadhi ya uliowataja, hijawatambua kwa kuwa "they keep low profile"
 
Daah🤔,hongera mkuu naamini umefanya kazi ya ziada sanaa.Ni kazi kubwa kuweza ku fit watu wote hao.
Kingine nashukuru kumuona bro wangu akitambuliwa na watu Mbalimbali .
Any way,kahama wew ni mwenyeji sehem gani??🤔

#jr
Bro wako ni Madebe Lindai 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Tafsiri yake ni kwamba kuna watu wsliofanya makubwa kuliko hata baadhi ya uliowataja, hijawatambua kwa kuwa "they keep low profile"

Hakuna ch Tafsri hapo.

Tangaza huduma yako watu wakutambue, usipojitangaza hakuna atakayekuwa na habari na wewe. Huduma zako hazitajulikana, yaani hata uwe unamambo makubwa, nani atayajua ilhali umeyafungia ndani.

Mimi sijawahi kukutana na Hao wote niliowataja, Ila huduma zao naziona..

Embu niambie bila media ungemjua Michael Jackson, Obama, Osama, Trump, Magufuli, Diamond, Millard Ayo?

Media ndio uwanja wa kujitangaza, niambie bila media ungemtambua Yesu, Muhamad?

Usipojitangaza utakuwa huna la ziada
 
Sina fani yoyote ile
Ukiniweka utakuwa umenionea

😀 😀 😀
Mkuu mimi sitaki kukuonea, nataka ufanye jambo linaloendesha maisha yako kwa kiwango cha juu mpaka kiathiri wengine kwa namna chanya. Mimi nitakutambua na kukupa Tuzo😉😉😉
 
😀 😀 😀
Mkuu mimi sitaki kukuonea, nataka ufanye jambo linaloendesha maisha yako kwa kiwango cha juu mpaka kiathiri wengine kwa namna chanya. Mimi nitakutambua na kukupa Tuzo😉😉😉
😂😂😂😂 Sawa
 
Hakuna ch Tafsri hapo.

Tangaza huduma yako watu wakutambue, usipojitangaza hakuna atakayekuwa na habari na wewe. Huduma zako hazitajulikana, yaani hata uwe unamambo makubwa, nani atayajua ilhali umeyafungia ndani.

Mimi sijawahi kukutana na Hao wote niliowataja, Ila huduma zao naziona..

Embu niambie bila media ungemjua Michael Jackson, Obama, Osama, Trump, Magufuli, Diamond, Millard Ayo?

Media ndio uwanja wa kujitangaza, niambie bila media ungemtambua Yesu, Muhamad?

Usipojitangaza utakuwa huna la ziada
Kuna watu wanatangazwa na ubora wa kazi zao. Siyo mtu anajitangaza kila siku yeye kuliko hata kutangaza kazi zake.

Ruge ( RIP) hakuwa hata na account instagram, ila alivyofanya Clouds watu walitaka tu kujua who is behind that.

Kenya tu hapo kuna James Mwangi, kaitia Equity zero kabisa mpaka sasa hivi imekuwa kubwa, kazi yake ndio imemtangaza.

Antony Mtaka ubora wa kazi yake ndio umemtangaza.

USA kuna kina Robert Smith, Zuckerberg, mostly wametangazwa na kazi zao.

Sasa huku kwetu huyo Jokate kwanza hana kazi ya maana zaidi ya mapicha picha mitandaoni. Ukiuuliza any accomplishment HAKUNA. Anazidiwa hata na yuke GERANA somebody dada fulani ni Kiziwi.
 
Kuna watu wanatangazwa na ubora wa kazi zao. Siyo mtu anajitangaza kila siku yeye kuliko hata kutangaza kazi zake.

Ruge ( RIP) hakuwa hata na account instagram, ila alivyofanya Clouds watu walitaka tu kujua who is behind that.

Kenya tu hapo kuna James Mwangi, kaitia Equity zero kabisa mpaka sasa hivi imekuwa kubwa, kazi yake ndio imemtangaza.

Antony Mtaka ubora wa kazi yake ndio umemtangaza.

USA kuna kina Robert Smith, Zuckerberg, mostly wametangazwa na kazi zao.

Sasa huku kwetu huyo Jokate kwanza hana kazi ya maana zaidi ya mapicha picha mitandaoni. Ukiuuliza any accomplishment HAKUNA. Anazidiwa hata na yuke GERANA somebody dada fulani ni Kiziwi.

Watu hawawezi kutumia Mbinu moja kutoa huduma zao bora.

Ukisema Jokate anazidiwa na Huyo Dada, unaweza kuthibitisha hayo, maana mbinu bora ya kuthibitisha huduma bora za mtu au kampuni kwa karne hizi ni Kupitia media na mitandao ya kijamii.

Bila media, huyo Yesu, Muhamad, Zuckerberg ungemjua
 
Watu hawawezi kutumia Mbinu moja kutoa huduma zao bora.

Ukisema Jokate anazidiwa na Huyo Dada, unaweza kuthibitisha hayo, maana mbinu bora ya kuthibitisha huduma bora za mtu au kampuni kwa karne hizi ni Kupitia media na mitandao ya kijamii.

Bila media, huyo Yesu, Muhamad, Zuckerberg ungemjua
Wewe takataka ni mbishiiii.
 
Wewe takataka ni mbishiiii.

Nimeshakuambia Kila kitu kinahitaji matangazo, sasa mimi na wewe nani mbishi?

Hakuna kosa mtu akijitangaza kama ilivyo hakuna kosa mtu akitangazwa. Sasa mimi na wewe nani Mbishi?

Kama akili yako imefikia ukomo wake, ukaona mimi ni Takataka, nakuunga mkono kabisa, upo sahihi Kabisa.
 
Aisee, we jamaa ni hatari sana.

Yaani kama taasisi vile, humo kuna kada kibao hata sizijui na watu wake nawashangaa tu.
 
Back
Top Bottom