Taifa Stars wanastahili Tuzo ya Amani huko Morocco

Taifa Stars wanastahili Tuzo ya Amani huko Morocco

Dah yani mpira ni kama uchaguzi tu, unaweza zurumiwa haki yako na ukaona inaenda kabisa alafu mwishoe unampa mkono alie kudhurumu haki yako. Refa 1:Tanzania 0
 
stakehigh Chibike gallow bird
Foffana mambo vipi wazalendo
IMG_7122.jpeg
 
Kuna mambo yaliyo juu zaidi ya ushindi wa mpira. Sisi tuliingia uwanjani kama washindani, si washiriki wa kujaza idadi.

Asiyekubali kushindwa si mshindani wa kweli. Mpira ni mchezo wa wazi, na kila aliyeutazama ameona kilichotokea. Licha ya udogo wa jina letu katika mashindano haya, tumeonyesha wazi kuwa tunaweza kushindana.

Tuliwadhibiti wapinzani kwa kiasi kikubwa na tuliweza kutengeneza nafasi kadhaa, lakini tumeshindwa kuzitumia ipasavyo. Wapinzani walipata nafasi nyingi zaidi, lakini moja tu ndiyo iliyozaa goli.

Tulichezewa rafu mara nyingi, lakini refa alikuwa akipeta tu. Dakika za mwisho kabisa, Nado alisukumwa waziwazi ndani ya boksi la penalti, lakini refa alipuuza tukio hilo kana kwamba tayari kulikuwa na maelekezo—lazima wenyeji washinde.
 
Tulichezewa rafu mara nyingi, lakini refa alikuwa akipeta tu. Dakika za mwisho kabisa, Nado alisukumwa waziwazi ndani ya boksi la penalti, lakini refa alipuuza tukio hilo kana kwamba tayari kulikuwa na maelekezo—lazima wenyeji washinde.
Wale wasiopenda haki wanasema Refa alikua anailinda amani ya uwanja mzima.. kwa hio hakukua na haja ya kufunika tuta maana tuta halipigiwi honi na hilo ni jibu jingine lwa WU A U
 
Taifa Stars hawastahili tuzo ya amani, maana walilalamika sana baada ya kunyimwa haki. Kibongo bongo ni kwamba UKINYIMWA HAKI INABIDI UTULIE BILA KULALAMIKA.
 
Wale wasiopenda haki wanasema Refa alikua anailinda amani ya uwanja mzima.. kwa hio hakukua na haja ya kufunika tuta maana tuta halipigiwi honi na hilo ni jibu jingine lwa WU A U
Imeisha hiyo na maisha yanaendelea.
 
ile ya jana Mmorocco angemfanyia Mualgeria pangewaka vibaya Sana.
Mwarabu yoyote yule angenyongwa vile pale pangewaka moto.

Kwanza hata kwa yale maamuzi mabovu tu kwenye matukio mengi ya faulo ambapo ni dhairi refa alikuwa anawaonea sana stars, kwa watunisia au wamisri au Algeria mechi ingekuwa na vurugu sana na ingeisha na kadi nyekundi kibao, wasingekubali kuonewa vile.
 
Back
Top Bottom