Taifa Stars vs Benin, 12 Oktoba 2014

Taifa Stars vs Benin, 12 Oktoba 2014

endelea kutujuza bwana katavi, tupo mbali huku. Matokeo mazuri haya
 
Game za friendly tunaperform kwelikweli.. Ila sasa za mashindano dooh
 
Tatizo huwa tunashinda mech ambazo hazina umuhimu zaidi ya kupanda nafasi moja au mbili juu
 
Tatizo huwa tunashinda mech ambazo hazina umuhimu zaidi ya kupanda nafasi moja au mbili juu
Hata mimi nashangaa sana, kwann tukicheza game za mashindano huwa tunakuwa mdobwedo?
 
Kipindi cha pili kinaanza starz 2-0 benin
 
Hili suala la televisheni ya taifa tbc kurusha matangazo ya mechi hii kwa kujiunga Azam tv ni sawa?
 
Viongoz wa dini matokeo vp?nyani ngapi ngapi nani kapigwa muislamu au mkristo tupe update haraka.

Kulikuwa na timu mbili AMANI na USHIRIKIANO zikiwa na wachezaji wa dini zote mbili. Timu ya amani ilishinda goli 1.
 
Tatizo huwa tunashinda mech ambazo hazina umuhimu zaidi ya kupanda nafasi moja au mbili juu
Daudi1 kwani hii ndo tumeshashinda...starts sometimes ni kama mgonjwa anakupa matumaini kabla ya kukata kauli...jamaa wanaweza kuchomoa na kuongeza vilevile...
 
Last edited by a moderator:
Kulikuwa na timu mbili AMANI na USHIRIKIANO zikiwa na wachezaji wa dini zote mbili. Timu ya amani ilishinda goli 1.
unamaanisha walichanganyikana bila kujari tofauti ya dini zao!mkristo namba 2 muislam namba3?!
 
Gooooool starz 3-0 benin...thomas ulimwengu
 
Daudi1 kwani hii ndo tumeshashinda...starts sometimes ni kama mgonjwa anakupa matumaini kabla ya kukata kauli...jamaa wanaweza kuchomoa na kuongeza vilevile...
Ila kweli unaweza kukuta jamaa wanachomoa tunabaki kung'aa sharubu
 
Back
Top Bottom