Taifa Stars vs Benin, 12 Oktoba 2014

Taifa Stars vs Benin, 12 Oktoba 2014

Hv hii tabia ya kupoteza muda kwa timu zetu itaisha lini hata michezo km ya kirafiki(rejea kipa wa taifa stars leo dk za lala salama)
Hawa wachezaji wa starz wanafanya mambo ya ki-unprofessional players
 
Hivi wale wachezaji wa Benin wanaochezahuo England EPL kina Sessingno hawakufurukuta kurudisha?
 
Taifa Stars 3:Benin 0
Goli la kwanza Cannavaro
Pili ni Kiemba
Tatu ni Uncle Ngasa
Sasa ni dk 55
pongezi kwao , ila cku wakifungwa usiwe msaliti na usisahau kuja kupost huku jf
 
mbwa asiyekamata kitoeo leo amerudi nyumbani na digidigi aka ngolombwe
Kinachoshangaza huyu mbwa siku wakifika wageni muhimu nyumban kwao ukamtuma aende kutafuta kitoweo harudi hata na panya mmoja, leo hakuna wagen muhimu yeye analeta digidigi.
 
Hivi wale wachezaji wa Benin wanaochezahuo England EPL kina Sessingno hawakufurukuta kurudisha?
Jamaa walikuwa wanaogopa injury hivo walikuwa hawajitumi kama wanachezea timu yao ya taifa, hawa wachezaji wa kiafrika wamekosa uzalendo kwa nchi zao, hawa wachezaji aina ya akina samatta wasio na uzalendo kwa mataifa yao wapo wengi sana.
 
Jamaa walikuwa wanaogopa injury hivo walikuwa hawajitumi kama wanachezea timu yao ya taifa, hawa wachezaji wa kiafrika wamekosa uzalendo kwa nchi zao, hawa wachezaji aina ya akina samatta wasio na uzalendo kwa mataifa yao wapo wengi sana.

Mkuu siku moja moja sifia na chakwako,tumewafunga kihalali tu,hayo mambo sijui walikua hawajitumi sikweli,!
 
Kweli hiyo tabia mbaya ipo hata kwa ligi ya TZ na T Stars wanafanya hivyo hivyo kupoteza muda tangu zama za ivon mapunda ni aibu kwa soka la Ushindani.
 
Back
Top Bottom