Taifa limekaa mguu sawa

Taifa limekaa mguu sawa

Anton mwita

Member
Joined
Dec 24, 2019
Posts
30
Reaction score
16
Taifa la Tanzania kwa miaka ya hivi karibu naweza kusema limekaa mguu sawa.Limekaa mguu sawa kutokana na lilivyo sasa ukilinganisha na miaka ya nyuma.

Taifa lilinuka rushwa,wizi wa Mali za umma,uzembe kwa watumishi wa umma,tena uliokidhiri.Haikuwa ajabu mfanyakazi kuingia kazini saa 2:30 asubuhi saa 4:00 asubuhi chai mpaka saa 7:00 mchana,baada ya hapo safari ya kwenda kutanua huanza.
Taifa limekaa mguu sawa hata wale tuliowazoea kwa maneno ya kizalendo Leo wamegeuka kuwa vibaraka wa mabeberu.

Kipindi hicho wanalalamika nyuma ya pazia walikuwa wanaiba na kufaidi Mali za umma.Kipindi ambacho walisema serikali imeoza ,leo serikali imesimama imara wanasema inavunja haki za binadamu,hakika nchi sasa imesimama mguu sawa.
Wezi halisi sasa tumewatambua ,Mh rais tunaomba uendeleze msimamo imara na dhabiti bila kuyumba..

Daima tuko nyuma yako,atakayekuchafua tutakusafisha kwa njia yoyote.2020 twende na Magufuli
 
Kukosekana/ubovu wa kipimo/mpimaji haimahanishi kuwa ugonjwa umepona/haupo!.
 
Taifa la Tanzania kwa miaka ya hivi karibu naweza kusema limekaa mguu sawa.Limekaa mguu sawa kutokana na lilivyo sasa ukilinganisha na miaka ya nyuma.
Taifa lilinuka rushwa,wizi wa Mali za umma,uzembe kwa watumishi wa umma,tena uliokidhiri.Haikuwa ajabu mfanyakazi kuingia kazini saa 2:30 asubuhi saa 4:00 asubuhi chai mpaka saa 7:00 mchana,baada ya hapo safari ya kwenda kutanua huanza.
Taifa limekaa mguu sawa hata wale tuliowazoea kwa maneno ya kizalendo Leo wamegeuka kuwa vibaraka wa mabeberu.
Kipindi hicho wanalalamika nyuma ya pazia walikuwa wanaiba na kufaidi Mali za umma.Kipindi ambacho walisema serikali imeoza ,leo serikali imesimama imara wanasema inavunja haki za binadamu,hakika nchi sasa imesimama mguu sawa.
Wezi halisi sasa tumewatambua ,Mh rais tunaomba uendeleze msimamo imara na dhabiti bila kuyumba..
Daima tuko nyuma yako,atakayekuchafua tutakusafisha kwa njia yoyote.2020 twende na Magufuli
Tusipojenga taasisi imara ni bure ukomo ukifika yatajirudia
 
Taifa la Tanzania kwa miaka ya hivi karibu naweza kusema limekaa mguu sawa.Limekaa mguu sawa kutokana na lilivyo sasa ukilinganisha na miaka ya nyuma.
Taifa lilinuka rushwa,wizi wa Mali za umma,uzembe kwa watumishi wa umma,tena uliokidhiri.Haikuwa ajabu mfanyakazi kuingia kazini saa 2:30 asubuhi saa 4:00 asubuhi chai mpaka saa 7:00 mchana,baada ya hapo safari ya kwenda kutanua huanza.
Taifa limekaa mguu sawa hata wale tuliowazoea kwa maneno ya kizalendo Leo wamegeuka kuwa vibaraka wa mabeberu.
Kipindi hicho wanalalamika nyuma ya pazia walikuwa wanaiba na kufaidi Mali za umma.Kipindi ambacho walisema serikali imeoza ,leo serikali imesimama imara wanasema inavunja haki za binadamu,hakika nchi sasa imesimama mguu sawa.
Wezi halisi sasa tumewatambua ,Mh rais tunaomba uendeleze msimamo imara na dhabiti bila kuyumba..
Daima tuko nyuma yako,atakayekuchafua tutakusafisha kwa njia yoyote.2020 twende na Magufuli
Simple mathematics dogo ufisadi na rushwa kuanzia 2005 had I 2015 haukufika tri 1,

Awamu hii ndani ya mwaka kumeibuliwa
Upotevu wa tshs 2.4 tril 2016/2018
 
Simple mathematics dogo ufisadi na rushwa kuanzia 2005 had I 2015 haukufika tri 1,

Awamu hii ndani ya mwaka kumeibuliwa
Upotevu wa tshs 2.4 tril 2016/2018







Tupe udhibitisho wa hiyo hoja yako.Hizo ni bla bla za wale wapiga kelele.
 
Pamoja sana ,watanyooka tu,na bado
Taifa la Tanzania kwa miaka ya hivi karibu naweza kusema limekaa mguu sawa.Limekaa mguu sawa kutokana na lilivyo sasa ukilinganisha na miaka ya nyuma.
Taifa lilinuka rushwa,wizi wa Mali za umma,uzembe kwa watumishi wa umma,tena uliokidhiri.Haikuwa ajabu mfanyakazi kuingia kazini saa 2:30 asubuhi saa 4:00 asubuhi chai mpaka saa 7:00 mchana,baada ya hapo safari ya kwenda kutanua huanza.
Taifa limekaa mguu sawa hata wale tuliowazoea kwa maneno ya kizalendo Leo wamegeuka kuwa vibaraka wa mabeberu.
Kipindi hicho wanalalamika nyuma ya pazia walikuwa wanaiba na kufaidi Mali za umma.Kipindi ambacho walisema serikali imeoza ,leo serikali imesimama imara wanasema inavunja haki za binadamu,hakika nchi sasa imesimama mguu sawa.
Wezi halisi sasa tumewatambua ,Mh rais tunaomba uendeleze msimamo imara na dhabiti bila kuyumba..
Daima tuko nyuma yako,atakayekuchafua tutakusafisha kwa njia yoyote.2020 twende na Magufuli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata kama 2 bln zinepotea ni sahihi maana ndege zipo,SGR inajengwa,bwawa la umeme liko mbioni,meli zinajengwa,watoto wanasoma bure kila mwezi almost 28 bln zinatumika,sasa hiyo hesabu yako sijui kma ina maamaana.
 
2025 - 2030 Kasim Majaliwa Majaliwa....JPM kwenye banchi la ufundi (nyuma ya pazia) na hakuna kwenda kufanyiwa "check up" ya afya Uingereza!
Kuna mijamaa ipo kwenye "hibernation " ikisubiri 2025 waanze kutafuna nchi!
images.jpg
 
Tunashukuru mheshimiwa anajitahidi kwa sehemu yake, ila ni kweli siku taifa hili likikaa mguu sawa (national attention) ,tutapiga hatua kubwa sana

Kwa upande wangu taifa kuwa mguu sawa ni pale tutakapofikia kama taifa kukubaliana kuwa na agenda moja na uelekeo mmoja wa kitaifa katika maendeleo. Tofauti na hapo kila kiongozi atamrisha gwaride upande unaotaka yeye ,kila dereva atatupeleka uelekeo anaomini yeye.Hivyo mwisho wa siku tutajikuta tunazunguka pale pale.
 
Tupe udhibitisho wa hiyo hoja yako.Hizo ni bla bla za wale wapiga kelele.
Umeyaona Yale mabanda ya mabati yaliyojengwa kwa milioni 100 kule songwe? Kwa taarifa yako ufisadi awamu hii upo juu kuliko awamu nyingine sema wameziba taarifa zisiwafikie wananchi!
 
Yeye mwenyewe amekataa hakutekwa wewe unalazimisha na zito wako au mlipanga kumteka ili mumshauri akubali lakini kakataa bado mpo tu na kutekwa, na muda si mrefu mtajulikana manaopanga propaganda za kutekwa watu kumbe ni nyie mnafanya hayo.
 
Tunatumia fedha zetu za ndani au mikopo?
Hata kama 2 bln zinepotea ni sahihi maana ndege zipo,SGR inajengwa,bwawa la umeme liko mbioni,meli zinajengwa,watoto wanasoma bure kila mwezi almost 28 bln zinatumika,sasa hiyo hesabu yako sijui kma ina maamaana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom