Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 22,617
- 39,974
Kazi kuimba mapambio tu, CAG akisema fedha hazionekani mnamfukuza kazi halafu unatafuta uthibitisho wa nini? Wakati wa KIKWETE uthibitisho ulitoka wapi kama siyo taasisi zilizokuwa huru? Mnazuia watu kuandika uozo wenu halafu mnajifanya wasafi?Tupe udhibitisho wa hiyo hoja yako.Hizo ni bla bla za wale wapiga kelele.
Sent using Jamii Forums mobile app