Walidhani kwa kumfungia Tundu Lissu ndani mambo ndio yatakuwa mepesi, kumbe sasa ukuta mzima umepasuka ni afadhali yangekuwa ya mlango tu.
Jinsi siku zinavyokwenda ndio CCM inavyozidi kupoteza control ya mambo mwishoni wataishia kutoa amri ya piga vunja miguu wakatibiwe hospitali, hapo ndio mambo yao yatakuwa mabaya kuliko ya Ruto.
Polepole ni kama ameletwa kusimama mahali pa Lissu na kazi inaendelea vizuri. Asipotoka kwingineko atakoka katika boma lako mwenyewe mambo yanaweza kuwa magumu zaidi.
Jinsi siku zinavyokwenda ndio CCM inavyozidi kupoteza control ya mambo mwishoni wataishia kutoa amri ya piga vunja miguu wakatibiwe hospitali, hapo ndio mambo yao yatakuwa mabaya kuliko ya Ruto.
Polepole ni kama ameletwa kusimama mahali pa Lissu na kazi inaendelea vizuri. Asipotoka kwingineko atakoka katika boma lako mwenyewe mambo yanaweza kuwa magumu zaidi.