Taifa la Israel (Wana Israel) Halirogeki?

Taifa la Israel (Wana Israel) Halirogeki?

MUNGU mbariki MKWAWA, ALLY MBANO SONGEA na KINJEKETILE NGWARE...

Waliwafurusha Wale wa ANGLICANA to the MAXIMUM!I

TOFAUTI na HAO sisi tungekuwa VINYAMKELA vya MAKANISA hadi leo...

Ameeen
 
" Hakika hapana uchawi juu ya Yakobo, Wala hapana uganga juu ya Israeli. Sasa habari za Yakobo na Israeli zitasemwa, ni mambo gani aliyoyatenda Mungu! "
= > HESABU 23 : 23

1924900_581099525360455_2071051457180126702_n.jpg





ni kweli kabisa
 
MUNGU mbariki MKWAWA, ALLY MBANO SONGEA na KINJEKETILE NGWARE...

Waliwafurusha Wale wa ANGLICANA to the MAXIMUM!I

TOFAUTI na HAO sisi tungekuwa VINYAMKELA vya MAKANISA hadi leo...

Ameeen


Afadhali magaidi.walishindwa.kueneza imani zao zq.kujitoa muhanga hadi songea
 
Bas marekan na washirika wake wasimkingie kifua uone..israil inavyotoweka dunian




Hahahqhahahhahhaha vita vyote vitatu.waarabu wametwangwa na israel marekani haikupelela hata askari mmoja
Mbaya.zaodi vita vya siku6 yaaani misri na Syria wote wakatwangwa🙂 msisingizie marekani wayahudi wana akili sio waarabu wanaonenepeana kama viboko na pesa za.petroli
 
Wewe mwenyewe mtoa post ni booonge la bwege unajiita Hitler kwanini usingejiita
Nzinga mbandi
Omar makunganya
Monomotapa
Kinjikitile
Kunta kinte
Kimbangu
Etc kama kweli una pigania uafrica
 
Wewe mwenyewe mtoa post ni booonge la bwege unajiita Hitler kwanini usingejiita
Nzinga mbandi
Omar makunganya
Monomotapa
Kinjikitile
Kunta kinte
Kimbangu
Etc kama kweli una pigania uafrica
omari????????
 
Duh waafrica bwana Jews wanabagua na kuuwa watu wewe unakuja huku kuwasifia na mwingine anajiita black jew humu.dah aliyeturoga kweli alifaliki muda sana "emancipate your self from mental slavery"
 
sitasahau mataifa ya kiarabu yalipojipanga kuimaliza kilichowatokea Misri haamini mpk leo hii
 
Back
Top Bottom