Taifa la Israel (Wana Israel) Halirogeki?

Taifa la Israel (Wana Israel) Halirogeki?

" Hakika hapana uchawi juu ya Yakobo, Wala hapana uganga juu ya Israeli. Sasa habari za Yakobo na Israeli zitasemwa, ni mambo gani aliyoyatenda Mungu! "
= > HESABU 23 : 23

1924900_581099525360455_2071051457180126702_n.jpg





Badala ujivunie mkwawa ama kinjekitile unajivunia huyo msyria yakobo?

Subiri waje.
Juda's is satan's

Kiongozi, yalimshinda jibril, wataweza hawa makafir wa kiislamu.


Hao kina kinje?.

Jibril=gabriel.

Hamia Israeli basi tujue moja.

hapa ngoja aje bi mkubwa Foxy na matusi yake!!!

Hapa washaanza, sijui Mungu gani ambae huwaruhusu kumdhihaki mwenzie kiimani!!! Shame up on them.......Yatendeni mambo yote pasipo manung'uniko na mafarakano....

Nyie ni wayahudi?au mnawashwa tuu.
 
" Hakika hapana uchawi juu ya Yakobo, Wala hapana uganga juu ya Israeli. Sasa habari za Yakobo na Israeli zitasemwa, ni mambo gani aliyoyatenda Mungu! "
= > HESABU 23 : 23

1924900_581099525360455_2071051457180126702_n.jpg





Aaa sana,absolutely vitendo hushinda maneno mtu atakataa huu ukweli lakini anashuhudia kile Israeli inafanya pale middle east.BLESSED NATION OF ALL TIME.Shalom shalom Yizrail😀:thumbup:
 
Bujibuji,huyo kwenye picha ndiyo wewe?mbona vifaa vyako duni sana?!
 
Isreal ingekuwa inarogeka waarabu wangesoma albadiri ili watoweke katika uso wa dunia.
 
Ukiiombea Nchi Ya Israel, Mungu Pia Anabariki Maisha Yako,na Hakuna Taifa La Kuishnda Israel Duniani Mpaka Yesu Anarudi

Bas marekan na washirika wake wasimkingie kifua uone..israil inavyotoweka dunian
 
Back
Top Bottom