Taifa la Israel (Wana Israel) Halirogeki?

Taifa la Israel (Wana Israel) Halirogeki?

Bujibuji Simba Nyamaume

Platinum Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
78,144
Reaction score
166,082
"Hakika hapana uchawi juu ya Yakobo, Wala hapana uganga juu ya Israeli. Sasa habari za Yakobo na Israeli zitasemwa, ni mambo gani aliyoyatenda Mungu!" = > HESABU 23 : 23

1924900_581099525360455_2071051457180126702_n.jpg

 
Badala ujivunie mkwawa ama kinjekitile unajivunia huyo msyria yakobo?
 
" Hakika hapana uchawi juu ya Yakobo, Wala hapana uganga juu ya Israeli. Sasa habari za Yakobo na Israeli zitasemwa, ni mambo gani aliyoyatenda Mungu! "
= > HESABU 23 : 23

1924900_581099525360455_2071051457180126702_n.jpg




Kiongozi, yalimshinda jibril, wataweza hawa makafir wa kiislamu.
 
Hapa pananukia harufu ya matusi na kejeli mda si mrefu....wenye kupigania Israel vs Mecca...
 
hapa ngoja aje bi mkubwa Foxy na matusi yake!!!

Hapa washaanza, sijui Mungu gani ambae huwaruhusu kumdhihaki mwenzie kiimani!!! Shame up on them.......Yatendeni mambo yote pasipo manung'uniko na mafarakano....
 
muafrika mweusi mpaka ubongo!yakobo ndo nini na israel nini?halafu hicho kitabu kiliandikwa na nani?just another fale ta
 
Back
Top Bottom