Tai hapigani na nyoka ardhini

Mshana Jr. leo umeongea kitu cha maana mno, nadhani wokovu umeshafika nyumbani kwako kama ulivyofika kwa zakayo. infact, hakuna aliyewahi kumshinda shetani akienda kimwili, na ili shetani ashinde mwanadamu huwa either anamsogeza kwenye ulimwengu wake wa giza, au anamwendea kimwili ili mwanadamu aingie king kupambana kimwili na anashinda asubuhi kabisa. mwanadamu chali. ila ukimwendea shetani kiroho kwa Nguvu za Mungu, hana nguvu hata chembe, anakimbia. ndio maana kushindana kwetu si kwa damu na nyama, ni kwa roho, katika ulimwengu wa roho. huko ndiko tunapigana na wakuu wa anga, wakuu wa giza, falme na mamlaka na majeshi ya pepo wabaya,yapo kibao huko ukienda kichwakichwa bila Nguvu za Mungu au ukienda kimwili, yana nguvu balaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…