Tai hapigani na nyoka ardhini

Kongole sana mawana wane....
 
Point kubwa juu ya ujumbe wako kaka Mshana Jr ni nini hasa kwenye hili jukwaa maana naona kila mtu anazungumza lake!
 
Mkuu umezeeka halafu ndiyo ukakua kiroho.Bonge la ujumbe
 
Sasa mbona hapo nyoka kabamizwa kwenye uwanja wake wanyumbani. Aka kwa mkapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…