TAHLISO waionya Chadema

..kuwa msikivu kwanza.

..Chadema wanatetea hoja zilizowasilishwa na Tume ya Warioba ambaye ni mwana-Ccm.

..Sasa wewe na wana-Ccm wenzako mngetueleza kwanini mnaipinga Tume ya Warioba ambaye ni mwana-Ccm mwenzenu.
Kwani time hiyo uliyoitaja ambayo chadema mnaheshim maoni yake, umeambiwa ni msahafu au biblia? Hamnaa mtu au kikundi chenye kutaja kisikosolewe kwani sio Malaika wa mbinguni.
Kwani kuwa mwanasisiemu maaana yake nikua malaika ambaye hawezi kukosea? Hapa duniani hakunamkamilifu Kwa jambo lolote lile. Hivyoo mawazo ya Kila mtu lazima yadadafuliwe na wenzake na pia naye akubali mawazo huru mengine juu yakile anachokiamini.
 

..Ccm wasikilize mawazo ya Chadema.

..Chadema wasikilize mawazo ya Ccm.

..Tanzania sio miliki ya chama kimoja.
 
Unawasemea waTanzania we umetumwa na Nani? Yaonekana huko Darasani unakaa Dawati la Mwisho kabisa!
 
Ebu anza wewe na wenzio wa ccm huko kuheshimu maoni na mapendekezo ya umma kupitia Rasimu ya Katiba ya Warioba
 
Chadema ni mufilisi mkuu,imagine inaongozwa na wafuatao ;Mbowe(elimu ndogo saaana),Lema kimsingi hajaenda shule,Asenga yule wa Segerea anakesha mitandaoni kutukana,John Mrema (ana kabelimu ingawa anaishi kwa mke wake ,John Mnyika nae pia Elimu yake hijakamilika inavyostahili (hana degree),John henche (alikosa kujiunga na UDSM ankaenda soma chuo cha hadhi yake , the list goes on ,ndio muone ni chama cha aiana gani hiki
 
Kwenye hiyo list yako, kwa hicho kigezo kimoja tu cha elimu ya darasani, kuna wa kumlinganisha na musukuma, kibajaji, majimarefu (RIP), Kawawa (RIP - Tena mwalimu Nyerere alisema, huko CCM hana wa kumlinganisha na Kawawa kwa ubora).

Uongozi bora ni mwunganiko wa qualities nyingi, la sivyo Marais wote Duniani, na mawaziri wangekuwa maprofesa. Hebu niambie, miongoni mwa hao maprofesa jalala/njaa waliojazana huko CCM, ni yupi unaweza kumtaja ana msimamo thabiti. Sifa kuu ya msomi wa kweli ni kuongozwa na kanuni ya ukweli.

Wengi wa hao wanaoitwa wasomi wa CCM, ni aheri ya Musukuma ana positive impact kwa jamii kuliko hao wasomi wanafiki na fuata upepo.
 
Hao uliowataja sio viongozi wa chama wewe
 
Chadema wangekuwa na msimamo Lowasi asingeweza kuwa mgombea urais wao ,zaidi ya miaka kumi walituaminisha kuwa alikuwa ni fisadi
 
Vijana wa aina hii wangekuwepo miaka ya 1940-1960 hakika tusingepata uhuru, pengine wangeipa "press conference" kumpa onyo Nyerere.
 
CCM wameishiwa kweli kweli hadi kukodi hawa panyaroad kuwapa tafu kupambana na Chadema
 
Wasomi kufata ubwana mabwana na uelekeo wa ufisadi ,unatufikisha hapa yaani mwanafunzi wa chuo kikuu Tena Udsm anasema hayo.

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
 
lakini ikumbukwe kwamba watu hawa waliitwa kutoa maoni yao wakakataa, sasa wanataka hata yale yaliyotolewa na watanzania wengine kwa uhuru na haki watu wayapinge ”alisema Nkinda [emoji16][emoji38] Retired Tindo
Inahitajika afya ya akili kuwaelewa chadema, maoni ya chawa yasiyo na umuhimu kwa taifa yanayoenda kinyume na katiba bali maslahi binafsi kupewa nafasi
 
Kama hata mpumbavu atakukosoa bila uzito wa hoja basi tutakuwa na taifa la wajinga wasiokuwa critical thinkers tukikubali ujinga wao, na demokrasia siyo kukubali kila upumbavu.

 
Lini nyie wapambe wa CCM mliishauri CCM ikubaliane na uwanja sawa wa kufanyia siasa?
Mmeacha kuiba kura na kukubali tume huru ya uchaguzi kufuata ushauri mnaopewa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…