Taharuki: Tembo waranda randa mtaani Same kwa zaidi ya siku sita

mtendaji wa kijiji

JF-Expert Member
Jul 3, 2012
533
115
13239013_956824304427262_201775340152646406_n.jpg


Wapendwa wana JF natumaini mpo salama.

Katika hali isiyo ya kawaida Tembo wanane wameonekana wakirandaranda mitaani katika vijiji vya wilaya ya Same na kuendelea kuharibu mazao ya wananchi pamoja na Miti.

Tembo hao wanaosadikiwa wapo Zaidi ya 30 ambao wametoroka Kutoka Msitu Wa Tembo wameonekana Tangu tarehe 18/05/2016 Katika Kijiji Cha Ishinde Kata Ya Njoro na Siku Moja Baadae yan tarehe 19/05/2016 walionekana katika kijiji cha Saweni. Tarehe 20/05/2016 Walionekana kijiji cha Mng'ende na Leo Jumamosi tare 21/05/2016 Wameonekana katika Milima Ya Kijiji Cha Gonjanza Suji.

Licha ya kuenea kwa taarifa za uwepo wa Tembo hao Bado wananchi hawajaona Jitihada za TANAPA kuwaswaga na kuwarejesha tembo hao mahala walipotoka

Nimeambatanisha picha ya baadhi ya tembo hao kama walivyoonekana katika kijiji cha Gonjanza Suji
 
Zifahamishwe mamlaka husika ili zishughulikie suala hilo mapema kabla ya kuleta madhara. Kama itashindikana apigiwe simu balozi wao Ali Kiba akiwa katika ofisi za Sonny ili awafahamishe wenzake na kuzuia hii taharuki kwa wananchi.
 
View attachment 349545

Wapendwa wana JF natumaini mpo salama.

Katika hali isiyo ya kawaida Tembo wanane wameonekana wakirandaranda mitaani katika vijiji vya wilaya ya Same na kuendelea kuharibu mazao ya wananchi pamoja na Miti.

Tembo hao wanaosadikiwa wapo Zaidi ya 30 ambao wametoroka Kutoka Msitu Wa Tembo wameonekana Tangu tarehe 18/05/2016 Katika Kijiji Cha Ishinde Kata Ya Njoro na Siku Moja Baadae yan tarehe 19/05/2016 walionekana katika kijiji cha Saweni. Tarehe 20/05/2016 Walionekana kijiji cha Mng'ende na Leo Jumamosi tare 21/05/2016 Wameonekana katika Milima Ya Kijiji Cha Gonjanza Suji.

Licha ya kuenea kwa taarifa za uwepo wa Tembo hao Bado wananchi hawajaona Jitihada za TANAPA kuwaswaga na kuwarejesha tembo hao mahala walipotoka

Nimeambatanisha picha ya baadhi ya tembo hao kama walivyoonekana katika kijiji cha Gonjanza Suji
kwani hii ni habari ya kisiasa????
 
Nlipata taarifa zao ila hapa tabia ya hawa wadudu ni kutembea usiku. Maeneo ya morondwe pale ishinde hawajakatiza
 
Vurugu ya hao viumbe ni hatari sana. Fanyeni mpango muwasiliana na Wizara ya Mali asili na kwa huko Kilimanjaro watafuteni Tanapa, maana wakishaharibu mashamba watahamia majumbani na akiliza hao sio nzuri kabisa. Usiombe kukutana na mzuiki wa hawa viumbe wakiwa wana hasira
 
kwenye picha hawapo kijijini wapo porini au unatusahaulisha machungu ya Kitwanga?
 
Back
Top Bottom