Kwa wale wandugu mlioko mkoa wa Dar es salaam pamoja na Mtwara chukuen tahadhari kwani picha za satelite zinaonyesha kwa tar 02May hali ya hewa ni mvua asubuh mpaka usiku .
Kwa wale wandugu mlioko mkoa wa Dar es salaam pamoja na Mtwara chukuen tahadhari kwani picha za satelite zinaonyesha kwa tar 02May hali ya hewa ni mvua asubuh mpaka usiku .
Sasa kaka ulitegemea taarifa zao ziwe sahihi wakati wote ni kamlete
Tahadhari
Kuanzia: Tarehe 30 Aprili 2012 Mpaka: Tarehe 04 Mei 2012
Aina ya Tukio Linalotarajiwa: Mvua Kubwa (zaidi ya milimita 50 katika kipindi cha saa 24 kila siku)
Kiwango cha Uhakika: 80%
Eneo: Mikoa ya Dar es Salaam, Mtwara, Lindi, Tanga, Morogoro, Pwani na visiwa vya Unguja na Pemba
Maelezo: Kuimarika kwa mgandamizo mdogo wa hali ya hewa katika maneo ya Bahari ya Hindi yanayopakana na Pwani ya kaskazini.
Angalizo: Wakazi wa maeneo hatarishi, watumiaji wa Bahari na nchi kavu wanashauriwa kuchukua Tahadhari. Aidha Taasisi zinazohusika na Maafa zinashauriwa kuchukua hatua stahiki.
Maelezo ya Ziada: Mamlaka inaendelea kufuatilia mifumo ya hali ya hewa na kutoa taarifa kila itakapobidi.
IMETOLEWA NA MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA
Mweh! Sirudi Dar, ngoja niendelee kujichimbia Mkuranga.
Asante kwa taarifa.
Tahadhari
Kuanzia: Tarehe 30 Aprili 2012 Mpaka: Tarehe 04 Mei 2012
Aina ya Tukio Linalotarajiwa: Mvua Kubwa (zaidi ya milimita 50 katika kipindi cha saa 24 kila siku)
Kiwango cha Uhakika: 80%
Eneo: Mikoa ya Dar es Salaam, Mtwara, Lindi, Tanga, Morogoro, Pwani na visiwa vya Unguja na Pemba
Maelezo: Kuimarika kwa mgandamizo mdogo wa hali ya hewa katika maneo ya Bahari ya Hindi yanayopakana na Pwani ya kaskazini.
Angalizo: Wakazi wa maeneo hatarishi, watumiaji wa Bahari na nchi kavu wanashauriwa kuchukua Tahadhari. Aidha Taasisi zinazohusika na Maafa zinashauriwa kuchukua hatua stahiki.
Maelezo ya Ziada: Mamlaka inaendelea kufuatilia mifumo ya hali ya hewa na kutoa taarifa kila itakapobidi.
IMETOLEWA NA MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA
Kama hiyo tahadhali imetolewa na Mamlaka ya hali ya hewa ya Tanzania then watu wala wasiogope.
Mnaweza kunikumbusha ni lini hii mamlaka ilitabiri hali fulani ya hewa na ikatokea kweli?