rafikimkweli
JF-Expert Member
- Sep 5, 2013
- 349
- 121
Wakuu kuweni makini na matumizi yenu ya ATM, nyingi si salama, nimeibiwa laki 4 leo hii.
NI bora kuingi ndani kuliko kutumia ATM.
Nimelizwa Bank wenyewe wanaanza kuleta hadithi ndefu..kucheki statement naonyeshwa transactions ambazo sikufanya..
Hakuna niliyempa namba ya siri, wala niliyempa ATM card yangu, kuweni makini..
NI bora kuingi ndani kuliko kutumia ATM.
Nimelizwa Bank wenyewe wanaanza kuleta hadithi ndefu..kucheki statement naonyeshwa transactions ambazo sikufanya..
Hakuna niliyempa namba ya siri, wala niliyempa ATM card yangu, kuweni makini..