Zakumi
JF-Expert Member
- Sep 24, 2008
- 5,063
- 2,471
Ngoja nichapie tu kuhusiana na makabila ya kitanzania. Kwanza nianze na wahehe. Wanawake wa kihehe wana hasira sana. Ukimuudhi anaweza kujinyonga.
Ukijaribu kupata uroda kabla ya ndoa, inabidi uwe mjanja wa kusoma. Ukimkaribisha nyumbani atakuja na Biblia. Na ukijaribu kupapasapapasa atakwambia "wewe endeleaga tu thi (ni) thambi (dhambi) thako (zako) mwenyewe".
Stay tuned na makabila mengine.
Ukijaribu kupata uroda kabla ya ndoa, inabidi uwe mjanja wa kusoma. Ukimkaribisha nyumbani atakuja na Biblia. Na ukijaribu kupapasapapasa atakwambia "wewe endeleaga tu thi (ni) thambi (dhambi) thako (zako) mwenyewe".
Stay tuned na makabila mengine.