jozzeva
JF-Expert Member
- Oct 27, 2012
- 2,193
- 1,823
Hata dole gumba la mguuni hana mkuu?hv inakuaje kwa mtu asie na viganja?
Hata dole gumba la mguuni hana mkuu?hv inakuaje kwa mtu asie na viganja?
Umenikumbusha mbali sana! Tusiwe ni wenye kudhulumu.hv inakuaje kwa mtu asie na viganja?
Mtu ambaye hana vidole kabisa mikono yote miwili hachukuliwi alama za vidole chief huyo ni exceptional casendio kwani hawapo
Vipi kwa mtu ambaye hakuweka finger prints wakati anajisajili nida?????Hicho kitu akiwezekani mkuu, uwezi kusajili kwa kutumia kitambulisho cha MTU kama auna hata kidole kimoja cha muhusika, alama ya kidole utacho sajilia laini lazima iwiane na zile zilizowekwa NIDA kwa kitambulisho husika
Uthibitisho hapa hadharani Mkuu kwa manufaa ya umaNina uthibitisho mkuu,usipinge usicho na hakika nacho