Mwana Mtoka Pabaya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 15,118
- 16,470
Wayahudi wanadai kuwa 'takoprint' ndio most precise unique ID kwenye mwili wa binadamu (1/10,000,000). Vipi baba, na tako hauna?hv inakuaje kwa mtu asie na viganja?
Wayahudi wanadai kuwa 'takoprint' ndio most precise unique ID kwenye mwili wa binadamu (1/10,000,000). Vipi baba, na tako hauna?hv inakuaje kwa mtu asie na viganja?
Nitapita katika brunches zao kukagua waliosajiliwa kwa kutumia kitambulisho changu nikizikuta zina mpunga wa maana watajuta kuzaliwaKama unahisi kuna ujanja umetumika na kitambulisho chako kimetumika kusajili laini ambazo hizifahamu
Nenda kituo cha huduma kwa wateja uangalie namba zilizo sajiliwa kwa kitambulisho chako bila ya wewe kujua utaziona zote hata kama zipo 10 kisha zifunge ambazo huzihitaji au ziswap uzichukue maana hizo zote ni mali yako
Mkuu kila jambo linawezekana. Nadhani kinachofanyikaUzushi tu
Namba ya NIDA ipo connected na Fingerprint ya muhusika
Ingekuwa hivo watu wengi wangejisajiri kwa namba za Watu wengine
N kweli kabisa ndo maana lain za mawakala zinagoma kama lain sio yako.Uzushi tu
Namba ya NIDA ipo connected na Fingerprint ya muhusika
Ingekuwa hivo watu wengi wangejisajiri kwa namba za Watu wengine
Wao wataka pesa ukinunua lain unatumia kuwasiliana. Na unapowasiliana ndo wanaingiza pesa.Mtoa mada acha nikusahihishe kidogo.
Iko hivi wakala akiwa ana namba yako ya nida hawezi kusajiri laini nyingine kwa sababu itahitajika iwe connected na fingerprnt..
Utapeli na ujanja wa mawaka uko hivi.
Unapotoa namba ya NIDA au kitambulisho chako utakapomtajia namba yako ya simu utaweka dole gumba lako na kukamilisha kisha atakwambia tena rudia tena, kwahiyo pale unaporudia kuweka fingerprnt tambua kuwa anakamilisha usajiri wa laini nyingine tena kwahyo kitambulisho chako kimoja kinaweza kukamilisha laini hata tatu kwa mpigo bila wewe kujua...
Tatizo liko kwa mitandao ya simu kuruhusu kitambulisho kimoja kukamilisha laini zaidi ya moja ya mtandao mmoja.
Nitapita katika brunches zao kukagua waliosajiliwa kwa kutumia kitambulisho changu nikizikuta zina mpunga wa maana watajuta kuzaliwa
Naenda polisi nachukua RB kuwa nimeibiwa simu kisha naenda kuziswap kweli bongo fursa zipo nyingi ila hatujui kuzitumia
Kwa kweli.Elimu Elimu Elimu
Mkuu chutama tu, umeingia chaka.Nipe namba yako ya Nida uone kama siwezi kusajilia simu.
Unaamini finger print hii hii ambayo mwingine anaweka dole gumba, mwingine chanda, mwingine kidole cha kati na mwingine kidole cha mwisho?
Rudi shule mkuu.Hii haya inajibu swali lako either umeiruka au umesoma lakini hujaelewa. Nimekusogezea karibu uisome tena
"Sasa ikitokea hivyo na ametumia namba ya kitambulisho chako wakitrack namba za hiyo laini taarifa zitakazo onekana ni za kwako japo finger prints zitakuwa za mtu mwingine mpaka hapo wewe utakuwa mtuhumiwa wa kwanza kwa hiyo hata upepelezi/uchunguzi ukiwa unaendelea wewe utakuwa tayari unasota rumande kwa kosa ambalo si la kwako"
Umeingizwa chaka mkuu kubali yaishe.Acha ujuaji kasome uelewe
Acha umbea na uongo pamoja na unafiki akikopy hiyo namba na fingerprint atapataje? Acha unaa
Asipokuelewa hii basi tenaMtoa mada acha nikusahihishe kidogo.
Iko hivi wakala akiwa ana namba yako ya nida hawezi kusajiri laini nyingine kwa sababu itahitajika iwe connected na fingerprnt..
Utapeli na ujanja wa mawaka uko hivi.
Unapotoa namba ya NIDA au kitambulisho chako utakapomtajia namba yako ya simu utaweka dole gumba lako na kukamilisha kisha atakwambia tena rudia tena, kwahiyo pale unaporudia kuweka fingerprnt tambua kuwa anakamilisha usajiri wa laini nyingine tena kwahyo kitambulisho chako kimoja kinaweza kukamilisha laini hata tatu kwa mpigo bila wewe kujua...
Tatizo liko kwa mitandao ya simu kuruhusu kitambulisho kimoja kukamilisha laini zaidi ya moja ya mtandao mmoja.
ACHA UONGO .Ukiweka dole inatokea hadi picha yako uliyosajili nida dole likiwa tofauti haikubali.Uongo wenu wa kudanganyana vijiwe vya kunywa gongo baki nao mwenyeweNipe namba yako ya Nida uone kama siwezi kusajilia simu.
Unaamini finger print hii hii ambayo mwingine anaweka dole gumba, mwingine chanda, mwingine kidole cha kati na mwingine kidole cha mwisho?
Hii inaingia akilini .Mtoa mada acha nikusahihishe kidogo.
Iko hivi wakala akiwa ana namba yako ya nida hawezi kusajiri laini nyingine kwa sababu itahitajika iwe connected na fingerprnt..
Utapeli na ujanja wa mawaka uko hivi.
Unapotoa namba ya NIDA au kitambulisho chako utakapomtajia namba yako ya simu utaweka dole gumba lako na kukamilisha kisha atakwambia tena rudia tena, kwahiyo pale unaporudia kuweka fingerprnt tambua kuwa anakamilisha usajiri wa laini nyingine tena kwahyo kitambulisho chako kimoja kinaweza kukamilisha laini hata tatu kwa mpigo bila wewe kujua...
Tatizo liko kwa mitandao ya simu kuruhusu kitambulisho kimoja kukamilisha laini zaidi ya moja ya mtandao mmoja.
acha kumsikiliza huyo mjinga mleta mada.System ya NIDA ni kama ya passport ukigonga dole zinatokea details zako zote na picha.Huyo mleta maada mpumbavu mjinga na bwege .Dole la mtu mwingine haliwezi kubali kusajili laini kwa kutumia kitambulisho cha mtu mwingine.MLETA mada ni wale wajinga wa vijiweni wasioelewa kinachoendelea dunianiKama ndio hivyo zoezi la kusajiri laini kwa alama za vidole linakuwa limefeli kabisa na linakuwa halina maana zaidi wanakuwa wamesumbua tu wananchi.
........Kabla walisema mtu mmoja hawezi sajiri laini zaidi ya mbili kwa mtandao mmoja isipokuwa kwasababu maalumu, Leo inakuwaje mitandao inaruhusu uhuni kama huo ufanyike?
Habari za Facebook analeta humuACHA UONGO .Ukiweka dole inatokea hadi picha yako uliyosajili nida dole likiwa tofauti haikubali.Uongo wenu wa kudanganyana vijiwe vya kunywa gongo baki nao mwenyewe