Inasikitisha sana, ila wananchi nao wako frustrated na maisha ndiyo maana wanatenda haya wanayoyatenda! Watu wamechoka kuishi kwa kuwa yale maisha bora kwa kila mtanzania yamegeuka misimba ya maisha. 80% ya Watanzania wamekata tamaa ila nashangaa ni kwa nini asilimia hii isibadilishe madaraka na uongozi Tanzania. Imetosha.