bahati93
JF-Expert Member
- Aug 6, 2015
- 1,386
- 2,588
Habari Comrade,
Nimekuwa nikihisi nauli ya SGR itakuwa kubwa hivyo natoa tahadhari kwa Comrade wenzangu msije pata mshituko siku zitakapotangazwa. Waweza kuwa unajiuliza kwa nini mtu huyu anadhani nauli itakuwa kubwa?, Sababu ni hizi
UCHUMI
kutokana na shilingi kupoteza thamani itakuwa na gharama juu za uendeshaji tofauti na makadirio
MFANO HAI
nadhani kila mmoja anajua jinsi gharama za vibando zinavyokwenda juu. Kama tanzania inasifika kuwa na watumiaji wengi wa internet na bado juhudi zinafanywa kupunguza idadi hiyo hivyo hivyo juhudi zitafanywa ili watu wasipande mabasi ya bei chee na waje SGR ya bei ya juu. Msichukulie personal ni deni lapaswa kulipwa.
SGR PHASE II
Bila shaka hii phase itategemea kiasi kutoka phase i.
Uchumi hauna hauna serikali ya kuuongoza bali hufata sheria zake za asili yapasa kuona huruma kwa taifa litakalo kebehi uchumi.
Nimekuwa nikihisi nauli ya SGR itakuwa kubwa hivyo natoa tahadhari kwa Comrade wenzangu msije pata mshituko siku zitakapotangazwa. Waweza kuwa unajiuliza kwa nini mtu huyu anadhani nauli itakuwa kubwa?, Sababu ni hizi
UCHUMI
kutokana na shilingi kupoteza thamani itakuwa na gharama juu za uendeshaji tofauti na makadirio
MFANO HAI
nadhani kila mmoja anajua jinsi gharama za vibando zinavyokwenda juu. Kama tanzania inasifika kuwa na watumiaji wengi wa internet na bado juhudi zinafanywa kupunguza idadi hiyo hivyo hivyo juhudi zitafanywa ili watu wasipande mabasi ya bei chee na waje SGR ya bei ya juu. Msichukulie personal ni deni lapaswa kulipwa.
SGR PHASE II
Bila shaka hii phase itategemea kiasi kutoka phase i.
Uchumi hauna hauna serikali ya kuuongoza bali hufata sheria zake za asili yapasa kuona huruma kwa taifa litakalo kebehi uchumi.
