Viongozi wa dini tena, kwani wana ndoa halali?Cha msingi watafute viongozi wa dini waelezee then utajua wapi pa kuanzia humu utaishia kupata ushauri wa hasira tu
Cha msingi watafute viongozi wa dini waelezee then utajua wapi pa kuanzia humu utaishia kupata ushauri wa hasira tu
itachachaDuu yaan atafute tena mwingine sio ajipumzikie tu saiv alee watoto
Tena sana yaan ogopa kama Ukimwi.Kuna mtu aliwahi ongelea kuwa tuogope sana wanaume wanaotafuta wanawake mitandaoni, kama naanza kumuelewa hivi!!!
Duu yaan atafute tena mwingine sio ajipumzikie tu saiv alee watoto
Hahahaa!! Kwakweli, yaani lazima kunakuwa kuna tatizo mahali tu.Tena sana yaan ogopa kama Ukimwi.
Bora ukae mwenyewe na wanao, watoto wawili na mwingine tumboni wanatosha sana kwa maisha ya saivi. Mambo mengine hayo ya utamu unaeza pata anytime ukihitaji sio nyanya hicho kuwa zitaharibikasiwezi tafuta mwingine kwanza nilichokuja kugundua ni kwamba maisha yangu yapo vizuri zaidi nikiwa mwenyewe na watoto, yani nikitoka out na watoto naenjoy sana tu. Kingine pia nalala vizuri zaidi maana nalala fofofo bila kusumbuliwa na mtu.....hii ni relationship yangu ya pili na ni experience ya pili ya kuishi na mwanaume ila natamani sana life ya single , najua ina changamoto zake lakini stress zake ni ndogo mno compared na ndoa.
Haichachi jombaa sanasana ndo itaimarika na kuwa tamu zaidiitachacha
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] aisee mie mlango nilioingilia ndio ningetokea huo huo. As long as najiweza kimaisha. Mie kutukanwa tu unanifukuza sembuse kupigwa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]uvumilivu tunaonangwa nao wanawake aisee mimi sina huoHv hao viongoz wa dini mnaowasema nyie ni wapi hao?
kwa hiyo we hutaki aitoe kwa mwingine? afe na utamu kama muwa?Haichachi jombaa sanasana ndo itaimarika na kuwa tamu zaidi
TATIZO LA KUZAA KABLA YA NDOA. POLE LAKIN, NA UNAZID KUZAA TU KILA MTOTO BABA YAKE.
TATIZO LA KUZAA KABLA YA NDOA. POLE LAKIN, NA UNAZID KUZAA TU KILA MTOTO BABA YAKE.