Tahadhari kwa Zitto Kabwe

mnashangaza sana nyie mijusi. zitto siameshaondoka chadema? hizi porojo zote zanini tena? fanyeni yenu muacheni na zitto afanye yake.

Nani anamfuatilia mwenzake kama siyo wafuasi wa zzk na act kuendelea kuiandama cdm utadhani cdm ndio chama tawala?Hii inajionyesha kuwa act haina lengo la kuing'oa ccm madarakani bali ni kudhoofisha upinzani ili ccm iendelee kutawala milele kwa kuhujumu matumaini ya watanzania
 
Mashaka yangu Act ni hiyo nyota mliyoweka kwenye kadi zenu na kwenye bendera!hiyo ni nembo na utambulisho wa dini ya kiislamu.Nashauri mbadili hyo nyota ondoeni mtapata wengi
 
Naam, Bwana Zitto Sikia haya ninayoenda kuandika hapa. Siasa zetu katika nchi za kiafrika ni zaidi ya Siasa.Ujenzi wa chama si kazi ya lelemama kwanza inahitaji watu makini,pesa,mipango mkakati iliyo madhubuti na uwanja sahihi wa kufanyia siasa zenyewe.

Siasa zetu za kiafrika sio sawa na zile za nchi zilizoendelea, kwamba sera pekee zinaweza kumshawishi mtu akuunge mkono katika chama chako, hapa kwetu unajua vyama vyetu wafuasi wengi wana matarajio ya muda mfupi na wanalenga kupata jambo fulani kipindi fulanI, katika muktadha huu utakuta Migogoro mingi inaibuka kwenye vyama hivi ambavyo havina rasilimali za kutosha mwisho mgogoro ukikomaa utakuta chama kinakufa kifo cha kawaida, na hapa sina maana chama kifutwe kwa msajiri.

Hakika kuna matarajio uliyonayo moyoni mwako lakini hayataweza kutokea katika siasa za ACT maana sasa wale waliokupokea wanahitaji muda ili waanze kupishana na wewe na hapo ndio utajikuta unakuwa Easy target.Chama kikiyumba utakuwa unajiona unalo jukumu la kurekebisha mambo na hapo Zitto utakuwa hauna amani tena moyoni utakuwa unajutia yale yaliyotokea na yanayobeba historia ya maisha yako kisiasa.

Sasa jukumu unalo tena zito,kipindi hiki unapoangalia mbele kwenye uchaguzi mkuu ujao,hakika itakuwa ni kazi ngumu mno wewe kurudi bungeni katika kipindi hicho ijapokuwa unaweza ukadhani ni rahisi lakini nataka nikwambie kwamba si rahisi maana kazi uliyonayo itakuwa kukijenga chama na si kujenga himaya yako ndani ya ACT,Akina Mwigamba naweza kusema hakuna chemistry kati yako na Mwigamba na hilo litakuwa tatizo la msingi.

Mwigamba anaamini katika mawazo yake na wewe pia, kamwe hamtaweza ku compromise pindi mkitofautiana katika harakati zenu mlizo anza.

Safari hii uliyoianza ni tofauti kabisa na ile uliyoianza pale ulipokua na umri wa miaka 16. kipindi hicho ulipata mafanikio mengi ndani ya siasa na nje ya siasa, ulipewa nafasi na chama chako kutenda majukumu makubwa,lkn safari hii ukiwa na umri wa 39 umeanza safari mpya yenye mashaka mengi.

Perfect message to someone who is ready to understand..
 
Naam, Bwana Zitto Sikia haya ninayoenda kuandika hapa. Siasa zetu katika nchi za kiafrika ni zaidi ya Siasa.Ujenzi wa chama si kazi ya lelemama kwanza inahitaji watu makini,pesa,mipango mkakati iliyo madhubuti na uwanja sahihi wa kufanyia siasa zenyewe.

Siasa zetu za kiafrika sio sawa na zile za nchi zilizoendelea, kwamba sera pekee zinaweza kumshawishi mtu akuunge mkono katika chama chako, hapa kwetu unajua vyama vyetu wafuasi wengi wana matarajio ya muda mfupi na wanalenga kupata jambo fulani kipindi fulanI, katika muktadha huu utakuta Migogoro mingi inaibuka kwenye vyama hivi ambavyo havina rasilimali za kutosha mwisho mgogoro ukikomaa utakuta chama kinakufa kifo cha kawaida, na hapa sina maana chama kifutwe kwa msajiri.

Hakika kuna matarajio uliyonayo moyoni mwako lakini hayataweza kutokea katika siasa za ACT maana sasa wale waliokupokea wanahitaji muda ili waanze kupishana na wewe na hapo ndio utajikuta unakuwa Easy target.Chama kikiyumba utakuwa unajiona unalo jukumu la kurekebisha mambo na hapo Zitto utakuwa hauna amani tena moyoni utakuwa unajutia yale yaliyotokea na yanayobeba historia ya maisha yako kisiasa.

Sasa jukumu unalo tena zito,kipindi hiki unapoangalia mbele kwenye uchaguzi mkuu ujao,hakika itakuwa ni kazi ngumu mno wewe kurudi bungeni katika kipindi hicho ijapokuwa unaweza ukadhani ni rahisi lakini nataka nikwambie kwamba si rahisi maana kazi uliyonayo itakuwa kukijenga chama na si kujenga himaya yako ndani ya ACT,Akina Mwigamba naweza kusema hakuna chemistry kati yako na Mwigamba na hilo litakuwa tatizo la msingi.

Mwigamba anaamini katika mawazo yake na wewe pia, kamwe hamtaweza ku compromise pindi mkitofautiana katika harakati zenu mlizo anza.

Safari hii uliyoianza ni tofauti kabisa na ile uliyoianza pale ulipokua na umri wa miaka 16. kipindi hicho ulipata mafanikio mengi ndani ya siasa na nje ya siasa, ulipewa nafasi na chama chako kutenda majukumu makubwa,lkn safari hii ukiwa na umri wa 39 umeanza safari mpya yenye mashaka mengi.

iko hivi ,kabla ya hayo kutokea tayari walishafikishana kwa msajiri
dalili za mvua ni mawingu

zito ni mtu mwenye dharau kubwa anapofanikiwa!
zito alikuwa na watu wengi cdm ambao leo hii angetoka nao lakini aliwatelekeza baada ya kupata fedha huko ikulu.
akaenda kujificha ujeruman na kuishi na wanawake wa ujeruman
Zito alishatofautiana na Kafulila kwa sababu hizo hizo

zito ni mwizi wa mali ya umma!!!
Isue ya escrow ndo inaweka bayana tofauti ya Kafulila na Zito
 
Hata mbuyu ulianza kama mchicha, hiki chama kitakuja kuwa tishio kwa Chadema, wait and see...ZZK ana wafadhili wengi ndani na nje ya nchi...wewe waache tu hawa kina Mtei na Mbowe waendeleze ukabila, udini na ukanda ktk hiyo NGO yao!...
kumbe ACT waobwanapambana na chadema sio Ccm chama tawala.
kwa akilibhizi za abunuasi nakwambia ACT inakufa baada ya uchaguzi mkuu,na kama itapata mbunge basi ni Kigoma tu.
hao Act hawafiki mbaki, watavumaa lakini mwisho wa siku watachuja tu.
 
Hata mbuyu ulianza kama mchicha, hiki chama kitakuja kuwa tishio kwa Chadema, wait and see...ZZK ana wafadhili wengi ndani na nje ya nchi...wewe waache tu hawa kina Mtei na Mbowe waendeleze ukabila, udini na ukanda ktk hiyo NGO yao!...

Kwahiyo hiki chama kimeanzishwa ili kipambane na cdm badala ya chama tawala. Ningeamin kwamba ni chama cha kizalendo iwapo kinapambana na ccm
 
Nomile

Walau nimemwona Mungu akiongea na mja wake. Ujumbe sahihi kwa wakati sahihi. Bila shaka Mh Zitto atazingatia haya. Itoshe kumtakia kila la kheri kwenye safari hii mpya aliyoanzisha.
 
Hata mbuyu ulianza kama mchicha, hiki chama kitakuja kuwa tishio kwa Chadema, wait and see...ZZK ana wafadhili wengi ndani na nje ya nchi...wewe waache tu hawa kina Mtei na Mbowe waendeleze ukabila, udini na ukanda ktk hiyo NGO yao!...

tishio kwa chadema, kwani wanapambana na chadema, au serikali iliyo madarakani? au kimeanzishwa kupambana na upinzani?
 
Kaka Zitto alishinda kata 9 kati ya 11 Kigoma Kaskazini jee kuna ushindi landslide zaidi ya huo? Kusema kwamba Kigoma Kaskazini inaweza kwenda CCM hilo kaka nadhani utakuwa umekosea, UKAWA hawezi kusimamisha mgombea Kigoma Kaskazini sababu hiyo ni wastage ya resources.

Kigoma yoyote Zito akigombea anashinda, sababu that is facts huko kwao yeye ni shujaa wao. Pili, katika majimbo ambayo ama CUF au CDM walikuwa na wagomebea wenye nguvu sawa na UKAWA wakigawa jimbo kwenda kwa moja ama CUF au CDM basi jua mwingine atajiunga ACT. Zitto is not stupid, yeye sherehe yake ni UKAWA kwani anakuja na mbadala au alternative.

Anachotakiwa ni kushinda wabunge 5-10 ili apate pesa ya Ruzuku, baada ya hapo miaka 5 ijayo akafanya national politics. Kitila anajua fika kabisa kwamba wao kushinda national politics ni ndoto za mfalme njozi, lakini wanaweza kushinda Kigoma, Tabora na wakatoa upinzani mkali sana baadhi ya sehemu kama Arusha. Ninavyoona Msando atagombea Arusha, he have money and mvuto maana yake atagawana Kura na Lema, means CCM will win.

Kwa mara ya kwanza tunaweza kuona analytical and calculated political campaign, sababu ya scarcity of resources nadhani ACT watajikita sehemu ambazo wana chance.
kujenga chama cha siasa ni kazi kubwa sana hasa kama waanzilishi wake wataweka masilahi yao mbele na kujenga himaya zao ndani ya chama hivyo kuzorotesha ukuaji wa taasisi inayoweza kudumu na kupambana katika mikikimikiki ya kisiasa bila kulegalega au hata kufa.
chama chochote cha siasa kilichosajiliwa kwa msajili kwa sasa ni mpinzani wa ccm hivyo jukumu kubwa lililo mbele yake ni kupambana na ccm na siyo CDM wala CUF kwa sababu hawa wote lengo lao ni moja la kuondoa udhalimu na upuuzi wa CCM sasa kama ACT wamesajiliwa kwenda kubomoa vyama vya upinzani basi chama hiki kitakuwa kinaongozwa na Mazezeta na wahuni kwa sababu huwezi kuishinda CCM kwa kubomoa wapinzani wenzio ningewaona wa maana sana ACT kama wangekuja ku supplement mapungufu ya wapinzani wenzao na kuongeza nguvu ili kuiondoa CCM madarakani lakini kwa sasa ni walewale tu wanasiasa tumbo
 
Hata mbuyu ulianza kama mchicha, hiki chama kitakuja kuwa tishio kwa Chadema, wait and see...ZZK ana wafadhili wengi ndani na nje ya nchi...wewe waache tu hawa kina Mtei na Mbowe waendeleze ukabila, udini na ukanda ktk hiyo NGO yao!...

Duhh!! Kumbe ACT imeanzishwa ili iwe tishio kwa CHADEMA naona mnaamua kuweka wazi dhamira ya kuanzishwa hiki chama ila ni vema ukatambua CHADEMA imejijenga ndani ya mioyo ya watu na wengi wa wanachama na wapenzi wa CHADEMA wanapenda chama na sio mtu au watu.
 
Kumbe zitto mtumkubwa ham et maana twitter zt,fb zt,jf zt, jamani twendeni na mengine
 
Hakuna haja ya mh zitto kupambana na CHADEMA japokuwa naelewa hawezi fanya hivyo kwakuwa si style yake. Tunachotarajia ni yeye kama mwenyewe alivyoahidi apambane kuwakomboa maskini. Alisha anza kazi hiyo na jukumu hilo zito lakini ni muda wa yeye kukaza buti zaidi. CHAMA cha kilaghai na matukio huwa kitapotea chenyewe matukio yakiwaishia.
 
Tuli dawa ikuingie, kumbe ukweli unauma siyo !!? na bado dose inaendelea.
mtajifanya wenyewe kuwa washauri wa zitto. lakini tunajua inawauma sana ndo maana zitto hawaishi kwenye hizo nazi zenu juu ya shingo. mnaonaje sasa mkaendelea kumsifia godless lema-mbowe-slaa-tobo-mbuga? maana zitto sio saizi yenu. au mnafikiri zitto ni lema au sugu?
 
Back
Top Bottom