Tahadhari kwa watumiaji wa smartphone

Tahadhari kwa watumiaji wa smartphone

Mi simu yangu sijaweka pattern kabisa, ila;
1. apps zote, isipokuwa chache sana hazitumiki bila password. Ingiza password, ndio utumie.

2. MTU akitaka kuingiza password na akakosea zaidi ya Mara tatu, atapigwa picha ya Siri na nitatumiwa kwenye gmail yangu.

3. Simu ikiokotwa au ikipotea, Nina uwezo wa
kuikomandi ikiwa ni pamoja na kulock nk.

4. Pia MTU akiniibia, nitajua aliko, tena hatakuwa na uwezo wa kuweka line yake, akiweka tu atapata ujumbe Kuwa simu imepotea au kuibiwa, awasiliane name Mimi kupitia..............

5. Kizuri zaidi, smartphone imenirahisishia, ile habari ya kupoteza majina haipo tena, pia msg au memory kwa ukubwa was 2gb haipo. Naweza kurudisha kila kitu kama simu itatumbukia baharini.

KWA UFUPI MMILIKI WA SMARTPHONE NI MMOJA TU.
 
Mi simu yangu sijaweka pattern kabisa, ila;
1. apps zote, isipokuwa chache sana hazitumiki bila password. Ingiza password, ndio utumie.

2. MTU akitaka kuingiza password na akakosea zaidi ya Mara tatu, atapigwa picha ya Siri na nitatumiwa kwenye gmail yangu.

3. Simu ikiokotwa au ikipotea, Nina uwezo wa
kuikomandi ikiwa ni pamoja na kulock nk.

4. Pia MTU akiniibia, nitajua aliko, tena hatakuwa na uwezo wa kuweka line yake, akiweka tu atapata ujumbe Kuwa simu imepotea au kuibiwa, awasiliane name Mimi kupitia..............

5. Kizuri zaidi, smartphone imenirahisishia, ile habari ya kupoteza majina haipo tena, pia msg au memory kwa ukubwa was 2gb haipo. Naweza kurudisha kila kitu kama simu itatumbukia baharini.

KWA UFUPI MMILIKI WA SMARTPHONE NI MMOJA TU.

Ni software gani unayotumia mkuu? Pia kama unaidea ya software yoyote nzuri ya kuweza kudownload videos na muvi naomba nitajie majina yake,thanx in advance
 
Nilishawahi jaribu kufungua simu ya mtu kwa hyo pattern. Simu yake ilikuwa na mafuta sana.
 
Ni kweli watu mchukue tahadhari. lakini pia uaweza kudukuliwa kwa kutumia thermal detection. Kila unapogusa namba katika keypad inaonyesha na hivyo jamaa anaweza kugundua umeshika helufi gani kama uko na simu au uko ATM. Lakini pia unaweza kumdanganya kwa kubonyeza namba zako za siri na wakati huohuo (simultaneously) ukiegesha vidole kwenye namba usiyoibonyeza.
Flir-One-Thermal-imaging-device.jpg
 
Katika vitu ambavyo hua siwezi wala sijawahi ni hiki....
Sitaki kujipa tabu mimi.
Ole wako niikute kwenye simu yako utaniambia unaficha nini!...lol

Siwezi fanya hivyo hata siku moja. Ukiruhusu usiri kwenye mahusiano unatengeneza njia ya kuchepuka. Nami sitaki niende huko, nimeamua kutulia.lol
Ova
 
Back
Top Bottom