LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 19,349
- 36,304
NAWALETEA KAMA ILIVYO . . . . .
WIZI MPYA WA MITANDAONI . . . . .
Haswaaaaa kwa wale wapendao kwenda internet cafe . . .
Yaani ukiingia internet cafe halafu nyuma ya computer ukakuta kuna ka-PIN keusi kamewekwa kwenye kebo ya kuchomekea Keyboard au Mouse ya computer, basi USITHUBUTU KAMWE kutumia hiyo PC. Narudia . . . . USITHUBUTU!!
Hako kadude keusi ni kama ka-memory fulani hivi ambako kanaweza ku-save data zote utakazotumia wakati unafungua mtandao au internet, mfano passwords za emails, facebook, na hata data zote za banking utakazofanya mtandaoni.
MSIJE KUSEMA HAMKUJUA . . . .
Share kwa wenzako ili nao wajue . . . .
WIZI MPYA WA MITANDAONI . . . . .
Haswaaaaa kwa wale wapendao kwenda internet cafe . . .
Yaani ukiingia internet cafe halafu nyuma ya computer ukakuta kuna ka-PIN keusi kamewekwa kwenye kebo ya kuchomekea Keyboard au Mouse ya computer, basi USITHUBUTU KAMWE kutumia hiyo PC. Narudia . . . . USITHUBUTU!!
Hako kadude keusi ni kama ka-memory fulani hivi ambako kanaweza ku-save data zote utakazotumia wakati unafungua mtandao au internet, mfano passwords za emails, facebook, na hata data zote za banking utakazofanya mtandaoni.
MSIJE KUSEMA HAMKUJUA . . . .
Share kwa wenzako ili nao wajue . . . .