Tahadhari kwa watumiaji wa internet

Tahadhari kwa watumiaji wa internet

NAWALETEA KAMA ILIVYO . . . . .
WIZI MPYA WA MITANDAONI . . . . .
Haswaaaaa kwa wale wapendao kwenda internet cafe . . .
Yaani ukiingia internet cafe halafu nyuma ya computer ukakuta kuna ka-PIN keusi kamewekwa kwenye kebo ya kuchomekea Keyboard au Mouse ya computer, basi USITHUBUTU KAMWE kutumia hiyo PC. Narudia . . . . USITHUBUTU!!
Hako kadude keusi ni kama ka-memory fulani hivi ambako kanaweza ku-save data zote utakazotumia wakati unafungua mtandao au internet, mfano passwords za emails, facebook, na hata data zote za banking utakazofanya mtandaoni.
MSIJE KUSEMA HAMKUJUA . . . .
Share kwa wenzako ili nao wajue . . . .
attachment.php

Hivi ni vya PS2 keyboard.

Hii hapa chini ni ya USB keyboard

usb-key_logger%20-%20phantom.jpg

im_keylogger_usage_smaller.png

seo_keylogger_usb_white.jpg


Pia kuna software ambazo unainstall kwenye computer ambazo zina-record keystrokes zote huna haja ya kuchomeka chochote cha ziada.
Ili kuepuka kuibiwa data zako za siri, ni bora kutumia computer yako mwenyewe.
 
sio lazima hako.kadude internet cafe zote si salama sa hivi mtu unaeza install keylogger na mambo yakawa hadharan sasa msijidanganye mpaka muone hako kadude
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom