Kyenju
JF-Expert Member
- Jun 16, 2012
- 5,143
- 2,547
Kakiwa keupe je?
Siyo kenyewe.
Kakiwa keupe je?
Sasa hii imekaaje ? yaani kila nikienda cafe basi nianze kuhangaika mvunguni kuitafuta hii cable...dah
Ndo maana yake........ujiandae pia kuitiwa mwizi......
teh teh tehKachukue kaweke matakoni halafu kimbia nacho .
Tena Kariakoo mtaa wa Kongo mida ya jioni.Tangu siku nilipo ambia kuhusu haya maujinga ndio ilikuwaa mwisho wangu wa kwenda migahawani. Kwa sasa ni mwendo wa simu tu! Kama kuna la zaidi nitatumia ka-dell kangu ka nyumbani. Unaweza kujikuta uko uchi siku moja.
Rangi hajalishi.mtoa maada nazani anamaanisha magnetic device.so any kind of device inserted to device chamber hav doubt
Mwenye sikio na asikie.........
dah! Sasa huo muda wa kutazama huko nyuma uko wapi?