KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Wanajamvi nawasalimia kwanza habari zenyu bwana,Mkasa ulionikuta jumatatu iliyopita nilijimvuzisha katika mji mkuu wanchi Idodomya nikafikia Hotel moja inaitwa Marryland ipo njia yakwenda Arusha road area c,ujenzi kama inavyofahamika nawakazi wahuko nikakaa wiki siku ya jumamosi narudi kwenye mihangahiko yangu nikaenda mapokezi nikapewa funguo nikaingia nikaoga nikabadili nguo nikaona nichukue laptop yangu nivinjalikwenye jamvi kwani nilikuta kitu??!!!nikaenda mpokezi huko nahuko hakuna kitu!asubuhi nikaenda polisi wakawakamata meneja wahudumu wasiku hiyo lakini hakuna aliyekuwa tayari ikabidi mwenye hotel aitwe naalipo fika ikaamliwa nilipwe nikalipa lakini tukaichangia nikalipa nusu thamani ya laptop nammiliki wa hotel akafanya hivyo!sasabasi mkuu waupelezi akasema juzi kunawatu wa wizara ya ujenzi wameibiwa laptop 3 hii ni case ya pili ndani ya juma moja na nusu!akasema nimtandao wanaingia kwenye hotel wanapanga huku wakichunguza nivyumba gani vyenye wateja wenye pesa!wanatumia masterkey!hayo ndiyo yamenikuta capitalcity!wameniacha uchi nambaya zaidi hata flash wamekomba!!Nwaomba wanaoenda huko jihadharini sana na hotel zilizopo area c.