thA goD
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 1,941
- 1,844
Hii ni kuwataarifu wanaume wote duniani ya kwamba imebakia takribani miezi Tisa(9) kabla ya kuanza kombe LA dunia huko Urusi,hivyo basi chondechonde ukijichanganya ukampa mkeo/mchepuko mimba sisi wakati tunaburudika na mechi za kombe la dunia wewe utakua ukifua mabwende ya mavi ya mtoto ako.