Nani kakwambia wenzako hawajajenga?
Mimi nitajenga kwa juhudi zangu za kutafuta mapene aka mkwanja na still bado nitakuwa nahonga. Nahakikisha napata kipato kikubwa then naonga as usually.
Mtambuzi kaweka picha yako aliopiga escape 1.....umetokelezeaje!!
Nani kakwambia wenzako hawajajenga?