Tahadhari kwa wale wanaolipwa kuzomea

Tahadhari kwa wale wanaolipwa kuzomea

Mi.naomba wajaribu kuzomea hata mara moja uone moto wake
 
Ni vema wanaolipwa na kujipanga barabarani kuzomea au kupiga deki wajiandae maana na vijana wa ccm wakiamua kulipiza kisasi patakuwa hapatoshi. Tufanye siasa za kistaraabu kwani hata ccm siasa za rafu tunazijua.

Na nyie si mkajipange mzomee??
 
Kuzomea au kushangilia kwenye mikutano huwa kunatokea automatically bila kuwapanga watu. Ukiwa kwenye mkutano wa mwanasiasa anayevutIa na kupendeka kama Lowassa halafu ukijifanya hamnazo na kuanza kuzomea unaweza kujikuta kwenye hali mbaya sana! Na CCM wanalijua hili na ndio maana hakuna mtu anayekubali kulipwa fedha ili azomee kwenye mikutano ya UKAWA kwani makubwa yanaweza kumfika.

Watu watamzomea sasa tuone mtafanya nini.
 
Ni vema wanaolipwa na kujipanga barabarani kuzomea au kupiga deki wajiandae maana na vijana wa ccm wakiamua kulipiza kisasi patakuwa hapatoshi. Tufanye siasa za kistaraabu kwani hata ccm siasa za rafu tunazijua.

Mimi sijalipwa na yoyote acha nianze kukuzomea wewe


Huyooooooooooo owoooooooooooo fisiccm!!!!
 
Ni vema wanaolipwa na kujipanga barabarani kuzomea au kupiga deki wajiandae maana na vijana wa ccm wakiamua kulipiza kisasi patakuwa hapatoshi. Tufanye siasa za kistaraabu kwani hata ccm siasa za rafu tunazijua.

We naomba nikuulize umwolewa?? Nahisi hujaolewa mbona huna hekima binti?? Moyo wako umejaaa uchochezi! Jirekebishee aisee.
 
Kuzomea au kushangilia kwenye mikutano huwa kunatokea automatically bila kuwapanga watu. Ukiwa kwenye mkutano wa mwanasiasa anayevutIa na kupendeka kama Lowassa halafu ukijifanya hamnazo na kuanza kuzomea unaweza kujikuta kwenye hali mbaya sana! Na CCM wanalijua hili na ndio maana hakuna mtu anayekubali kulipwa fedha ili azomee kwenye mikutano ya UKAWA kwani makubwa yanaweza kumfika.

Mkuu umetoa kitu kizuri sana, kila mwana ccm na apate hili onyo. Ikiwezekana hili onyo likabandikwe pale Lumumba na nyumbani kwa Nape, Mwigulu, Kinana, Masaburi, Bulembo ili wajaribu kuwatuma wahuni wao kuzomea shughuli ya ukawa.
 
Kwanza tuweke kumbukumbu sawa' ccm hakuna vijana wote ni wazee. Ukimwona kijana yupo ccm ujue ana matatizo. Alafu wanaowazomea ccm siyo ukawa ni wananchi wa kawaida wenye maisha magumu kutokana na ubovu wa ccm ----- wewe.

Kwa hiyo ccm kuna vijana.
Lakini wenye matatizo au sio?
 
Kwanza tuweke kumbukumbu sawa' ccm hakuna vijana wote ni wazee. Ukimwona kijana yupo ccm ujue ana matatizo. Alafu wanaowazomea ccm siyo ukawa ni wananchi wa kawaida wenye maisha magumu kutokana na ubovu wa ccm ----- wewe.
Bro wew huoni watu wakila Ujana CCM na wakishazeeka ndo wanakuja ukawa....?????? Au unajisahaulisha....?????

Sent from my TECNO M5 using Tapatalk
 
Ni vema wanaolipwa na kujipanga barabarani kuzomea au kupiga deki wajiandae maana na vijana wa ccm wakiamua kulipiza kisasi patakuwa hapatoshi. Tufanye siasa za kistaraabu kwani hata ccm siasa za rafu tunazijua.

naona umepanic mkuu!!!!hakuna hata mmoja anayelipwa kufa hvyo,hayo ni mahaba kwa rais mpendwa, hv siasa mnazofanya za matusi ndio ustaarabu? ??safari hii ccm imekataliwa duniani na mbinguni!!
 
Sawa, ila mgombea wenu sidhani kama atahimili mikiki ya kuzomewa! usitafute murder case.

Mikiki gani? Popote ambapo Lowasa yupo ana kundi la wafuasi nyuma yake, hutapata nafasi ya kuzomea.
 
Ni vema wanaolipwa na kujipanga barabarani kuzomea au kupiga deki wajiandae maana na vijana wa ccm wakiamua kulipiza kisasi patakuwa hapatoshi. Tufanye siasa za kistaraabu kwani hata ccm siasa za rafu tunazijua.

Acha kuchochea vita vya kisiasa, kuzomea ni sehemu ya burudani ya kisiasa. Itoa changamoto kwanini hakubaliki, angalia kauli yako pia kuhusu posho ya kuzomea ni tsh ngapi kwa kila zomea?
 
Ni ukweli usiopingika kua tupo wengi.pale mnapokua hamfurahishwi na jambo fulani nanyi mnatakiwa kuonesha.lakini mpo wachache,yawezekana njia waliotumia vijana WALIO WENGI waliozomea wamejifunza kutoka kwenye wabunge wa chama twawala wanavyokua wanazomea bungeni.
Hakuna amani itakayovunjika Tanzania kwani hata hao wachache wa CCM tunaendelea kuwaelewesha na wengi WAMEZINDUKA.
 
Ni vema wanaolipwa na kujipanga barabarani kuzomea au kupiga deki wajiandae maana na vijana wa ccm wakiamua kulipiza kisasi patakuwa hapatoshi. Tufanye siasa za kistaraabu kwani hata ccm siasa za rafu tunazijua.

ccm kuna vijana!!!!!
 
Back
Top Bottom