Tahadhari kwa wale wanaolipwa kuzomea

Tahadhari kwa wale wanaolipwa kuzomea

Ni vema wanaolipwa na kujipanga barabarani kuzomea au kupiga deki wajiandae maana na vijana wa ccm wakiamua kulipiza kisasi patakuwa hapatoshi. Tufanye siasa za kistaraabu kwani hata ccm siasa za rafu tunazijua.

Ccm hakuna vijana,kuna vijana wenye akili za wazee.
 
Ni vema wanaolipwa na kujipanga barabarani kuzomea au kupiga deki wajiandae maana na vijana wa ccm wakiamua kulipiza kisasi patakuwa hapatoshi. Tufanye siasa za kistaraabu kwani hata ccm siasa za rafu tunazijua.

acheni kutishia watu... magufuli mwenyewe alituambia tukiwaona mafisadi (ccm) tuwazomee... na ilo kupiga deki mnalilipia vipi kisasi??????????????
 
Back
Top Bottom