Ni vema wanaolipwa na kujipanga barabarani kuzomea au kuoiga deki wajiandae maana na vijana wa ccm wakiamua kulipiza kisasi patakuwa hapatoshi. Tufanye siasa za kistaraabu kwani hata ccm siasa za rafu tunazijua.
Ni vema wanaolipwa na kujipanga barabarani kuzomea au kuoiga deki wajiandae maana na vijana wa ccm wakiamua kulipiza kisasi patakuwa hapatoshi. Tufanye siasa za kistaraabu kwani hata ccm siasa za rafu tunazijua.
Ni vema wanaolipwa na kujipanga barabarani kuzomea au kuoiga deki wajiandae maana na vijana wa ccm wakiamua kulipiza kisasi patakuwa hapatoshi. Tufanye siasa za kistaraabu kwani hata ccm siasa za rafu tunazijua.
Ni vema wanaolipwa na kujipanga barabarani kuzomea au kupiga deki wajiandae maana na vijana wa ccm wakiamua kulipiza kisasi patakuwa hapatoshi. Tufanye siasa za kistaraabu kwani hata ccm siasa za rafu tunazijua.
Mimi sijalipwa lakini nimezomea jana.
swissme
Kuzomea au kushangilia kwenye mikutano huwa kunatokea automatically bila kuwapanga watu. Ukiwa kwenye mkutano wa mwanasiasa anayevutIa na kupendeka kama Lowassa halafu ukijifanya hamnazo na kuanza kuzomea unaweza kujikuta kwenye hali mbaya sana! Na CCM wanalijua hili na ndio maana hakuna mtu anayekubali kulipwa fedha ili azomee kwenye mikutano ya UKAWA kwani makubwa yanaweza kumfika.Ni vema wanaolipwa na kujipanga barabarani kuzomea au kupiga deki wajiandae maana na vijana wa ccm wakiamua kulipiza kisasi patakuwa hapatoshi. Tufanye siasa za kistaraabu kwani hata ccm siasa za rafu tunazijua.
Hahaaaa! Wanajua tu kuzomea bungeni!Nakumbuka hata mwigulu aliisha wahi izungumzia hii ishu,kuwa wako fiti wanaweza kujibu mashambulizi wakiamua:-D:-D
Sjui wanasubiri nini???
Hakuna anelipwa kuzomea.na sidhani kama ni vijana wa UKAWA tu nadhani hata vijana wa CCM wanaojielewa pia kwa kua wamechoka na uozo wa utawala wa miaka 50...tatizo ninyi mpo wachache sana hamtaweza kufanya hivyo.
Aliewaambia kuwa ni wapumbavu hakukosea
yaache yanajifanya yanajua.sisi sa hvi tunapiga kura tu kunyamazisha hawa malofaNi vema wanaolipwa na kujipanga barabarani kuzomea au kupiga deki wajiandae maana na vijana wa ccm wakiamua kulipiza kisasi patakuwa hapatoshi. Tufanye siasa za kistaraabu kwani hata ccm siasa za rafu tunazijua.
Ni vema wanaolipwa na kujipanga barabarani kuzomea au kupiga deki wajiandae maana na vijana wa ccm wakiamua kulipiza kisasi patakuwa hapatoshi. Tufanye siasa za kistaraabu kwani hata ccm siasa za rafu tunazijua.
Hivi CCM ina vijana?
Kina Shigella na Le Mutuz ni vijana?