TAHADHARI: Kwa Walaji Wa Vyakula Hivi

TAHADHARI: Kwa Walaji Wa Vyakula Hivi

bampami

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2011
Posts
5,700
Reaction score
4,126
Wapendwa ,

chukueni tahadhari sana, tena
sana na msipuuzie kuanzia sasa kamwe msije
mkala vyakula kama :-
Burger,
Pizza,
Birian,
Pweza,
Kababu,
Chips
Kuku,
Sandwich,
Chops,
Supu ya Maini,
Mishikaki ya kuku,
Meat Cake,
Mkate wa nyama nk.
Bila ya kukumbuka kunichukulia na mimi,
maana ndio mambo yangu hayo..

cc: Evelyn Salt
miss chagga
 
Last edited by a moderator:
sitakula nitakuletea tu wewe ,..... mwili wako hata mchanga unakula
 
😂😂😂😂😂👆👆👆👆👆👆. Ili jamaa ni se****ge sana. Kumbe masihala. Bwahahahahahahahaaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Mweeeh.....jaaaaaah......!...ww jamaaa umetixha mbaya! Aya watakuletea hivyo vyakula
 
Back
Top Bottom