Tahadhari kwa walaji wa Pweza

Tahadhari kwa walaji wa Pweza

kaka kilo moja ya pweza???? unataka kukesha???

Kaka usiku mrefu kaka........wale wa vibakuli hawafiki saa 6.....ndio maana michepuko inaongezeka we unafikiri kwa nini?
 
Mimi tokea sijapata akili vizuri nilikuwa nakula pweza, mbona sijadhurika?
 
Kuna Dem wangu alikua anapenda supu ya pweza sana ila 6/6 alikua vizuri jamani!
 
mi nakula kujenga afya na sio nguvu kwani nguvu ni genye zako tu..

Hapana ndetichia....genye hazimalizi hata sekunde 3,na hata peke yako unaweza kujipunguzia.....nguvu hujengwa mwana na ndo maana unaona wabeba chuma wanakuwa na nguvu zaidi....pia kwenye majambo lazima ujenge ili umalize usiku...sio km jogoo sekunde tu chali...usiku mrefu ujue.....UTACHEPUKIWA!
 
Last edited by a moderator:
Tatizo na sisi tumezidi kupiga pul sana unakuta mtu anapiga mara 5 kwa wiki ww unafikiri baada ya miaka kumi mtu huyu ataweza kazi hv hv bila kunywa via, dawa za wamasai au supu ya pweza kweli.
 
Dah..umenikumbusha juzi nilikua Tanga kuna wapemba wanawatengeneza vizuri sana..halafu bei ni tofauti na DSM, ni nafuu sana...
 
hebu elekeza na jinsi ya kuwaandaa na kuwapika

Kwanza ujue km pweza amepigwa, kule feri uliza amepigwa km laa mwambie akupigie kwan asipopigwa anakuwa mgumu. Pili jinsi ya kumtayarisha unakata vipande size upendayo ila kwenye kichwa hakikisha unatoa macho na takataka nyengne. Kumpika unaweka tangawizi kiac, k/thiumu, ndimu, bizari nyembamba na pilipilu manga kwa mbali sana
 
Nunua ukapike mwenyewe, vyakula vya barabarani majanga
 
Achaneni na pweza hayumo katika orodha ya vyakula alivyotupa Mwenyezi Mungu. Kama shida ni nguvu ya kiume kibo ya yote ni asali, mdalasini na vitunguu saumu. mchanganyiko huu kwa mwezi mmoja tu hata ------- anasimamisha ati!
 
Hapa kila mdau anajifanya ananunua na kutengeneza mwenyewe mmmmmmh....
 
Km freezer yako ni nzuri anakaa muda mrefu tu...mi naweka wa2/3 natumia mwezi mzima,lkn kwa Tanesco yetu hii na kwa vyakula vya baharini unashauriwa kutumia haraka mara baada tu ya kununua kuepuka food poisoning nk.Jaribu kutayarisha hii kitu utakuja niambia hapa hapa.hakikisha unanunua aliyepigwa tayari jaribu kuuliza kabla hujanunua....

Mkuu, aliyepigwa na asiyepigwa wana tofauti gani?


Sent from my iPad using JamiiForums
 
Kwanza ujue km pweza amepigwa, kule feri uliza amepigwa km laa mwambie akupigie kwan asipopigwa anakuwa mgumu. Pili jinsi ya kumtayarisha unakata vipande size upendayo ila kwenye kichwa hakikisha unatoa macho na takataka nyengne. Kumpika unaweka tangawizi kiac, k/thiumu, ndimu, bizari nyembamba na pilipilu manga kwa mbali sana

Kama hajapigwa mweke kwenye friza kisha kesho yake mtoe kwenye barafu anakua laini kama amepigwa so sio lazima kumpiga kule feri
 
Achaneni na pweza hayumo katika orodha ya vyakula alivyotupa Mwenyezi Mungu. Kama shida ni nguvu ya kiume kibo ya yote ni asali, mdalasini na vitunguu saumu. mchanganyiko huu kwa mwezi mmoja tu hata ------- anasimamisha ati!

Pweza hatukupewa na mwenyezi mungu? Kumbe katupa nani babu yako?
 
Kama hajapigwa mweke kwenye friza kisha kesho yake mtoe kwenye barafu anakua laini kama amepigwa so sio lazima kumpiga kule feri

Nna asili na kiumbe huyu....najua "kumchokoa",kumtayarisha na kumla.....sijawahi kusikia kuwa pweza akiwekwa kwenye friza anakuwa laini.Ninachojua wavuvi huwa baharini siku 4 hadi 5 kwa wiki,sasa huyo atavuliwa atapigwa kwenye chombo na kusafishwa na kuwekwa kwenye barafu,wewe ukiona wanarudi na kumuuza unajua hajapigwa...no...waulize watu wa pwani watakwambia.Huyubila kumpiga utatafuna Big G mpaka ukome....hanogi ng'o!
 
Achaneni na pweza hayumo katika orodha ya vyakula alivyotupa Mwenyezi Mungu. Kama shida ni nguvu ya kiume kibo ya yote ni asali, mdalasini na vitunguu saumu. mchanganyiko huu kwa mwezi mmoja tu hata ------- anasimamisha ati!

Asali,mdalasini,kitunguu saumu kweli vimetajwa kwenye qur-an tukufu...lkn ukiosma hadith za maswahaba wa nabii SAW utakumbana na pweza,mbarika mpaka majani ya mpera....vyote ni kutokana na M/Mungu
 
Back
Top Bottom